• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wafanyabiashara Namibia kuwekeza Mwanza

Posted on: January 20th, 2020



Balozi wa Namibia nchini, Mheshimiwa Theresia Samaria ameahidi kuwaleta wafanyabiashara kutoka Namibia ili kuangalia fursa za biashara hasa katika sekta ya samaki na ngozi.

Akiwa na mwenyeji wake, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. John Mongella, Balozi huyo amesema kwamba hakutarajia kuona fursa za kibiashara zilizopo mkoani Mwanza.

“Biashara ya samaki inafanana na kwetu, labda tofauti ni aina ya samaki. Sikutarajia kuona hali hii na fursa zilizopo kwa wafabiashara wa Namibia”, alisema akitolea mfano wa ukame ulioikumba nchi hiyo kwa miaka mitano mfululizo na kusababisha uhaba wa vyakula vya mifugo, “tulienda kila mahali kutafuta chakula cha mifugo, hatukufikiria kabisa Tanzania”.

Balozi Theresia na mwenyeji wake Mongella walitembelea viwanda vya kuchakata samaki vya Omega Fish Ltd na Tanzania, Kiwanda cha Ngozi cha Africa Tanneries Limited pamoja na Soko la Kimataifa la Samaki la Kirumba jijini Mwanza.

Kuhusu kiwanda cha ngozi, Balozi Theresia alisema amewasiliana na mmoja wa viongozi katika taasisi inayohusika na usindikaki wa ngozi ili atembelee kiwanda hicho, “Tanzania ipo nafasi ya saba kwa idadi ya ng’ombe Afrika, nimeangalia kiwanda na nimewasiliana na Kaimu Mwenyekiti aje Mwanza”.

Kiwanda cha Africa Tannaries kilibinafsishwa miaka kadhaa iliyopita, lakini serikali ilikichukua tena baada ya mwekezaji kushindwa kuendelea na uzalizashi.

Naye Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Mongella amewahimiza wafanyabiashara jijini kuwa wapambanaji katika kupigania fursa zilizopo.

“Tuwe wapambanaji zaidi nguvu ya soko hazitaki watu laini laini.

 Sekta binafsi inazidi kuimarika na kushamili serikali pia inapata nafasi zaidi ya kutoa huduma za kijamii kwa sababu inapata kodi na tozo mbalimbali.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.