• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WAFANYABIASHARA WALIOPISHA UJENZI SOKO LA MJINI KATI WATAPEWA KIPAUMBELE - RC MTANDA

Posted on: February 27th, 2025

WAFANYABIASHARA WALIOPISHA UJENZI SOKO LA MJINI KATI WATAPEWA KIPAUMBELE - RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewaahidi wafanyabiashara 802 walioondolewa mwaka 2019 kupisha ujenzi wa Soko Kuu la Mjini Kati kupata vizimba na vibanda kwenye soko jipya hivi karibuni kufuatia kukamilika kwake hadi sasa.

Ametoa kauli hiyo leo tarehe 27 Februari, 2025 alipokutana na wafanyabiashara hao pamoja na uongozi wa Wilaya ya Nyamagana katika ukumbi wa Ofisi yake kufuatia upotoshaji kuwa vibanda vya soko hilo la kisasa vimegawiwa kwa wengine.

Mhe. Mtanda amesema amebaini ya kwamba kuna baadhi ya watumishi kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza wamekua wakiwalaghai wafanyabiashara wapya kuwa watawapa fursa na kujipatia fedha kinyume na utararibu.

Ameongeza kuwa ugawaji wa vibanda na vizimba kwenye soko jipya unafanyika kwa kushirikiana na viongozi wa soko hilo kwa kuwabaini wale wote wenye Ilani halali na halisi walizokabidhiwa wakati wa kupisha mradi na kwamba wengine wenye ilani bandia watachukuliwa hatua pamoja na waliowapatia.

Mkurugenzi wa Halmashauri Jiji la Mwanza Wakili Kiomon Kibamba amesema soko lina nafasi 1365 na kwamba wafanyabiashara 802 walioondolewa ndiyo watakaopewa maeneo kwanza na ndipo maeneo 555 waendeleee na mchakato mwingine wa kisheria wa kuyauza.

"Hakuna mfanyabiashara mwenye ilani halisi katika wale 802 atakayekosa eneo la biashara na kwa sasa kamilisheni tu utaratibu kwa wale ambao hawana leseni za biashara ili kukidhi matakwa ya kisheria." Mkurugenzi Kibamba.

Naye, Mwenyekiti wa Soko hilo Hamad Mchola amebainisha kuwa mwezi Septemba 2019 kwa kushirikiana na uongozi wa halmashauri ya jiji la Mwanza walipisha ujenzi wa soko la mjini kati kwa ahadi ya kurejeshwa mara ujenzi utakapokamilika.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAKUZI YA AWALI YA MTOTO MSINGI WA UJENZI WA TAIFA IMARA - RAS BALANDYA

    May 16, 2025
  • RC MTANDA AWAKARIBISHA MWANZA WANAFUNZI KUTOKA UGANDA

    May 15, 2025
  • RC MTANDA AKOSHWA NA BONANZA LA USHIRIKA NA MABENKI

    May 14, 2025
  • RAS MWANZA ATAKA UHAMASISHAJI CHAKULA CHENYE LISHE KUONGEZEKA SHULENI

    May 13, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.