• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wahandisi na Maafisa ugavi wa Halmashauri wapewa Rai kuwa na weledi mradi wa BOOST

Posted on: May 4th, 2023


Afisa Elimu Mkoa wa Mwanza Martin Nkwabi amewataka Wahandisi na Maafisa Ugavi wa Halmashauri kuwa waadilifu na kutekeleza Mradi wa BOOST kwa wakati na ufanisi.  

Bwana Nkwabi ametoa kauli hiyo mapema leo tarehe 03.05.20223 Jijini Mwanza wakati akifungua Mafunzo ya kuwajengea uwezo Wahandisi na Maafisa Ugavi wa Halmashauri kuwa waadilifu na kutekeleza Mradi wa BOOST kwa wakati na ufanisi.  

“kuna shida ya kimaadili ambayo wakati fulani inatufanya tuachane na utaalamu wa fani tulinayo, nisisitize umuhimu wa uadilifu na kuzuia mmomonyoko wa maadili katika utendaji kazi wetu, ninyi ni watumishi wa Umma msikwame kwenye tope la maadili” amesema Nkwabi.

Aidha, amewataka Maafisa hao kuzingatia vipaumbele na malengo ya Mradi huo wa Sekta ya Elimu ili kuondoa hoja za ukaguzi na kuukamilisha Mradi chini ya viwango stahiki kwani kwa kufanya hivyo kunaipotezea Serikali fedha nyingi ikiwa ni pamoja na kupata fedha za Wahisani.

Akiongea kabla ya mgeni rasmi, Joel Mhoja Mratibu kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI amesema Maafisa hao watapatiwa mafunzo ambayo yasaidia kuimarisha utendaji wao lakini pia kwenda kuwawezesha Maafisa Elimu Kata na Walimu Wakuu ambao ni watekelezaji wa mradi huo moja kwa moja kwenye maeneo yao.

Akitoa neno la shukrani Mhandisi William Thomas Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi amesema watatekeleza mradi wa BOOST kwa weledi lakini ametoa rai ya kupatiwa gari ili kukabiliana na changamoto ya usafiri na kutoingiliwa na wanasiasa wanapotekeleza majuku yao kwenye ujenzi wa miradi.

Mafunzo hayo ya siku mbili kwa kanda ya Mwanza yanalengo la kuboresha ujenzi unaozingatia viwango kama ramani, ubora, rasilimali fedha na utunzaji wa mazingira ikihusisha washiriki kutoka Mikoa 12 ya Kagera, Kigoma, Tabora, Mara, Simiyu, Mwanza, Shinyanga, Singida, Rukwa, Kigoma, Katavi na Geita

BOOST ni Mradi wa Kuimarisha Ufundishaji na Ujifunzaji wa kwa shule za Msingi na Awali Tanzania Bara unaochangia Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo katika Sekta ya Elimu kuanzia mwaka 2021/2022 hadi 202526 ambao ni sehemu pia ya Lipa kulingana na Matokeo (EP4R).

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.