• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Walimu 68 kutoka Zanzibar wapo Mwanza kwa ziara ya Siku Tano

Posted on: August 9th, 2023

Walimu 68 kutoka Zanzibar wapo Mwanza kwa ziara ya Siku Tano.


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza ndugu Balandya Elikana ameipongeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kwa kuratibu safari ya Viongozi na Walimu waliofika Tanzania Bara kwa ajili ya kujifunza na kubadilishana uzoefu kwenye mambo mbalimbali.

Ametoa pongezi hizo alasiri ya tarehe 09 Agosti, 2023 wakati akizungumza na ugeni wa timu hiyo wapatao 68 waliofika Mkoani Mwanza kutoka Zanzibar ambao pamoja na shughuli za kielimu wametembelea miradi ya maendeleo na vivutio vya utalii katika kuunga Mkono Filamu ya Royal Tour.

Amesema Taifa lolote linaendelea endapo kunakua na elimu bora kwa wananchi wake hivyo ndio maana kwa pamoja Serikali zetu za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mapinduzi Zanzibar zinajikita katika kuboresha miundombinu na taaluma ili kuhakikisha wanafunzi wanapata

elimu bora.

Ndugu Elikana, amepongeza timu hiyo kwa kuamua kutembelea pia miradi ya maendeleo kama mradi wa Daraja la Kigongo-Busisi ambalo linatekelezwa kwa zaidi ya Bilioni 700 kwani wamejionea kwa macho namna gani mikao ya kanda ya ziwa itafunguliwa kupitia mradi huo ambao utakuza uchumi wa nchi na hifadhi ya Taifa ya Saanane.

"Natumia wasaa huu kumpongeze Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuiongoza vema nchi yetu kwani anaonesha kwa vitendo nia yake ya kulipeleka Taifa hili mbali zaidi kimaendeleo lakini pia Rais Dkt.Hussein Mwinyi kwa kazi nzuri nasi hatuna budi kuziunga miono juhudi za viongozi wetu hawa." Amesema Afisa Elimu Mkoa wa Mwanza, Martin Nkwabi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.