• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WATAFITI WA KILIMO WATAKIWA KUFANYA UWE NA TIJA KWA WAKULIMA

Posted on: September 26th, 2024

WATAFITI WA KILIMO WATAKIWA KUFANYA UWE NA TIJA KWA WAKULIMA


Kaimu Katibu Tawala Msaidizi  Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Mwanza Ndg. Peter Kasele ametoa rai kwa watafiti wa maswala ya kilimo kuhakikisha wanafanya utafiti wenye faida ili kuweza kutatua changamoto za mbegu kwa wakulima na kuimarisha sekta ya kilimo.

Ametoa rai hiyo leo Septemba 26, 2024 akimuwakilisha Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza  katika ukumbi wa Victoria palace  wakati akifungua mafunzo ya siku mbili ya uzalishaji wa mbegu za vipando vya muhogo, viazi vitamu na migomba kwa njia ya haraka.

Amesema ujio wa teknolojia hiyo mpya ya uzalishaji wa mbegu italeta mabadiliko makubwa kwa wakulima na wananchi kwa ujumla na kuhakikisha usalama wa chakula na mazao.

"Kuja kwa hii teknolojia ni kama mkombozi kwa wakulima itasaidia kwa asilimia kubwa kuzalisha mazao kwa kiwango kikubwa ambapo tutakuwa na uhakika wa kuongeza usalama wa chakula". Amesema Kasele


Aidha amewataka wakulima nao kuwa tayari kuipokea teknolojia hiyo mpya ambayo inakuja kuleta mabadiliko katika kilimo na kuachana na teknolojia za zamani.

Naye mkurugenzi wa Taasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania (TIRA) Ukirigiru Dr. Paul Saidia amesema Taasisi ya TIRA inamchango mkubwa katika kusimamia na kuendesha shughuli za kilimo kwa wananchi na wakulima.

Mafunzo hayo yameandaliwa na Taasisi ya kilimo Tanzania (TIRA) na Taasisi ya kimataifa ya utafiti wa maendeleo (CIAT) ambazo zinatekeleza mradi wa kuboresha mfumo wa upatikanaji wa mbegu Bora za vipando Africa (PROSSIVA).

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.