• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Watumieni wataalam, watafiti ili mjihakikishie kilimo bora na chenye tija: RC Mwasa

Posted on: August 3rd, 2023


Watanzania wametakiwa kutumia wataalam wa kilimo wakiwemo watafiti Kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa mazao mbalimbali ya kilimo na yenye tija kwa ukuaji wa uchumi wa nchi.

                                                                       Akizungumza leo kwenye ufunguzi wa maonesho ya Nane nane  kwenye uwanja ya Nyamhongolo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Fatma Mwasa, Mkuu wa wilaya ya Muleba Dkt. Abel Nyamahanga amesema kuwa hatua hiyo itasaidia kilimo kubadilisha hali ya maisha ya wananchi.

"Hii ni fursa ya pekee kwa wadau, wajasiriamali na wananchi kwa ujumla kutumia vizuri jukwaa hili kwa kufanya mageuzi kwenye shughuli za kilimo na biashara kwa ujumla kwani hata Taasisi za kifedha sasa zinawakopesha wakulima tofauti na hapo awali,"Dkt.Nyamahanga

Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya maonesho hayo Ndg.Emily Kasagara amesema kuwa maonesho hayo ambayo yanawashirikisha washiriki kutoka mikoa ya Mwanza, Geita na Kagera yanasaidia kuleta mabadiliko katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo na ufugaji  Kwa wananchi wa mikoa hiyo.

"Tunajivunia namna wananchi wanavyopata hamasa na maonesho haya kwani yanazidi kuwa na faida kwao, Serikali imetenga fedha nyingi kuhakikisha kilimo kinakuwa mkombozi wa ajira hasa kwa vijana,"Kasagara

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe.Hassan Masalla ametoa rai kwa wadau kuunganisha nguvu na kutatua changamoto zilizopo uwanjani hapo.

Mikoa ya Mwanza,Geita na Mara inaunda Kanda ya Ziwa Magharibi kwa kushirikiana kwenye maonesho hayo ya Nanenane kila mwaka.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.