• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WATUMISHI UKEREWE FANYENI KAZI KWA WELEDI KUEPUKA HOJA ZA KUJIRUDIA:RAS BALANDYA

Posted on: June 28th, 2024

WATUMISHI UKEREWE FANYENI KAZI KWA WELEDI KUEPUKA HOJA ZA KUJIRUDIA:RAS BALANDYA


Watumishi wa Halmashauri ya Ukerewe wametakiwa kufanya kazi kwa weledi na kutoa ushirikiano kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ili kuepuka hoja za kujirudia.

Akizungumza kwenye Baraza la Madiwani la Halmashauri hiyo lililokutana kujadili hoja za CAG za mwaka 2022/2023, leo juni 28 2023 Balandya amebainisha kumekuwa na kasumba ya kutompa ushirikano mzuri CAG na matokeo yake hoja kuchukua muda mrefu kumalizwa.

"Nawapongeza sana kwa kuwa na hati safi kwa miaka 3 mfululizo, sasa ongezeni bidii katika mapato ya ndani ili muweze kuwa na miradi yenye tija kwa wananchi". Balandya.

Aidha amewataka Madiwani kudhibiti na kusimamia vizuri miradi ya maendeleo ambayo itachangia kuongeza kipato na hali bora kwa wananchi

"Halmashauri ya Ukerewe katika hesabu za mwaka 2023 ilikuwa na hoja 30, huku hoja 18 zimemalizwa hoja 8 zipo hatua ya utekelezaji na 4 zimejirudia". John Mashimo, CAG.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe.Christopher Ngubiagai akitoa hotuba ya shukrani ameomba Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kuongeza idadi ya watumishi ili kuongeza ufanisi wa kazi.

"Ndugu Katibu Tawala hapa Halmashauri tuna upungufu wa watumishi kwa 53% yupo mwamasheria mmoja tu akipata dharura mambo mengi yanakwama". Amesema Mkuu wa Wilaya.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.