• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WAZALISHAJI WA MAZIWA MWANZA WAPEWA SOMO LA KUBORESHA BIDHAA

Posted on: November 7th, 2024

WAZALISHAJI WA MAZIWA MWANZA WAPEWA SOMO LA KUBORESHA BIDHAA


Kaimu Katibu Tawala Uchumi na Uzalishaji Bw. Petet Kasele amefungua mafunzo ya elimu kwa wazalishaji wa maziwa Mwanza na kuwataka kuzingatia sheria taratibu  ili wawe wazalishaji bora na kulimudu soko la ushindani.

Akifungua mafunzo hayo leo Novemba 7, 2024 kwenye ukumbi wa Nyanza Kasele amebainisha kuwa bado baadhi ya wazalishaji wa maziwa wanapata changamoto na kujikuta wakati mwingine kulipa adhabu ya malipo ya fedha au kufungiwa kutokana na kutofuata miongozo iliyopo.

Amesema Serikali ya Mkoa wa Mwanza kwa kutambua umuhimu wa tasnia ya maziwa imeendelea kuboresha mashamba ya ng'ombe bora wa mitamba pamoja na kuhamasisha kilimo bora cha malisho ya ng'ombe.

"Uzalishaji wa maziwa mkoani Mwanza katika mwaka 2023/2024 ulifikia lita 398.53 na tuna jumla ya mashamba makubwa 15 ya ng'ombe wa maziwa na kuanzishwa viwanda vidogo 13 vya kuchakata maziwa",Kasele.

Kwa upande wake mteknolojia wa chakula kutoka bodi ya maziwa, Israel Mwingira amesema mafunzo hayo yatawasaidia wazalishaji  hao hasa wanapotaka kuuuza au kuagiza maziwa nje ya nchi.

"Wazalishaji wengi maziwa wanafanya shughuli zao bila kujisajili na inapobainika wanajikuta wanakumbana na mkondo wa sheria na kuona kama wanaonewa",Nice Nestory,mwanasheria,bodi ya maziwa

Wazalishaji hao wameelimishwa kuhusu sheria ya tasnia ya maziwa,taratibu za usajili na taratibu za kuomba vibali vya kutoa au kuingiza maziwa nchini.

"

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.