• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wilaya ya Kwimba wapewa mkakati wa ukusanyaji mapato

Posted on: January 16th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amezitaka Halmashauri mkoani humo  kuwa wabunifu kwenye ukusanyaji wa Mapato ya ndani ili waweze kuongeza uwezo wa kujiendesha.

Amesema hayo leo (Januari 15, 2023) wakati wa kikao kazi cha pamoja na Halmashauri ya Kwimba kilichojadili kuhusu vigezo muhimu vya kuzingatia katika maandalizi ya bajeti ya mwaka 2023/24.

 Malima amesema uhai wa Halmashauri yoyote hutegemea sana makusanyo ili kukidhi Utekelezaji wa shughuli za kila siku kupitia bajeti zilizopangwa na kwa mujibu wa sheria hivyo ni wanapaswa kuwa na mpango wa kukusanya mapato mengi zaidi.

"Kwa jinsi nilivyowasikiliza nimebaini mna vyanzo vizuri sana vya mapato na mnaweza kukusanya zaidi hata ya Bilioni Tano na wala sio kama mlivyokadiria wenyewe kufikia kwenye Bilioni 3.1 huu ni uoga wenu tu na bora mngekadiria fedha nyingi ili mjitume zaidi" Malima.

Naye, Katibu Tawala Mkoa Balandya Elikana ameziagiza Halmashauri kuweka kumbukumbu za vyanzo vya mapato ambayo viña mwendelezo wa kufanya vizuri na ambavyo havifanyi ili kuwa na dira ya wapi pa kupita katika kuhakikisha Halmashauri inafanya vizuri kwenye ukusanyaji.

"Hadi mwezi huu ambapo tumebakisha miezi mitano kumaliza mwaka mmeshakusanya Bilioni 1.7 ambayo ni zaidi ya asilimia 85 ya mlichojipangia na tuna miaka mitatu mfululizo tunavuka malengo, hii maana yake ni kwamba hatuko sawa katika kukadiria mapato ya ndani na tujue ya kwamba tunapokadiria chini maana yake tunakaribisha matumizi mabaya ya fedha." Balandya Elikana.

Akitoa taarifa ya Halmashauri, Mkurugenzi Mtendaji Happiness Msanga amefafanua kuwa kwa mwaka 2023/24 wamekadiria kukusanya zaidi ya Bilioni 3.3 wakati kwa mwaka wa fedha unaoendelea wamekusanya Bilioni 2.46 ambayo ni sawa na asimilia zaidi ya 85.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.