Posted on: January 22nd, 2026
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (MB) anatarajiwa kuzindua Meli ya kisasa ya MV. New Mwanza katika Bandari ya Mwanza Kusini kesho ijumaa tarehe 23 Januari, 2026...
Posted on: January 20th, 2026
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amefika katika Kituo cha Afya Nyamsenda kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa na kutoa somo la uwajibikaji kwa Viongozi na Wataalamu baada ya kubaini kuwa ...
Posted on: January 20th, 2026
Halmashauri ya Wilaya Sengerema imepokea Tshs. Bilioni 2.16 katika mwaka wa fedha 2025/26 kwa ajili ya kujenga miradi 9 ya elimu zikiwemo shule mpya 4 fedha zilizokusudiwa kupunguza msongamano darasan...