Posted on: October 29th, 2018
Mkoa wa Mwanza umezindua majaribio ya mashindano ya ndege zisizokuwa na rubani (drone) ikiwa ni sehemu ya kupunguza changamoto zilizopo kwenye maeneo yasiyofikika kirahisi.
Mhe.N...
Posted on: October 25th, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mhe. John Mongela amesema Serikali imeuweka mkoa huo kimkakati na uwekezaji kutokana na kuwa kitovu cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Akizungumza na waandishi wa hab...
Posted on: October 23rd, 2018
Chama cha wasioona Tanzania (TLB) kimesema kuwa hakina tatizo na uongozi wa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Magufuli kutokana na changamoto zilizokuwa zinazokikabili chama...