• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Maktaba ya Video

  • TCRA wametoa kompyuta 12 kwa ajili ya Ufunguzi wa Kituo cha TEHAMA - Telesenta Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa, mgeni rasmi akiwa ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella.

    June 25th, 2018


    TCRA wametoa kompyuta 12 kwa ajili ya Ufunguzi wa Kituo cha TEHAMA - Telesenta  Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa, mgeni rasmi akiwa ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella.








  • Kivuko kipya cha MV MWANZA kilianza kujengwa Septemba mwaka jana ambapo kina uwezo wa kubeba Tani 250 za mizigo yakiwemo magari 36 na abiria Elfu moja

    June 19th, 2018

    Kivuko kipya cha MV MWANZA kilianza kujengwa Septemba mwaka jana ambapo kina uwezo wa kubeba Tani 250 za mizigo yakiwemo magari 36 na abiria Elfu moja.

  • Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella ameutaka uongozi wa vyama vya ushirika vya msingi -AMCOS Mkoani humo kusimamia vyema zoezi la ununuzi wa pamba ili kuhakikisha hakuna mkulima atayehujumiwa bei kwa kutumia vipimo visivyo sahihi.

    May 28th, 2018

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella  ameutaka uongozi wa vyama vya ushirika vya msingi -AMCOS Mkoani humo kusimamia vyema zoezi la ununuzi wa pamba ili kuhakikisha hakuna mkulima atayehujumiwa bei kwa kutumia vipimo visivyo sahihi.

    Mhe. Mongella amesema hayo baada ya kutembelea na kukagua zoezi la ununuzi wa pamba katika vituo ya kununulia Pamba vinavyovyosimamiwa na Vyama vya ushirika vya msingi Wilayani Misungwi.

    Licha ya changamoto za hali ya hewa na viuatilifu zilizojitokeza katika msimu wa kilimo cha pamba mwaka 2017/18 mavuno ya Pamba yanatarajiwa kuongezeka maradufu ikilinganishwa na msimu uliopita.

     

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWATAKA WANAMALYA KUCHANGAMKIA FURSA YA CHUO CHA MICHEZO

    May 18, 2025
  • NIA YA SERIKALI KILA MWANANCHI AUNGANISHIWE MAJI NYUMBANI KWAKE - WAZIRI MKUU

    May 18, 2025
  • MAKUZI YA AWALI YA MTOTO MSINGI WA UJENZI WA TAIFA IMARA - RAS BALANDYA

    May 16, 2025
  • RC MTANDA AWAKARIBISHA MWANZA WANAFUNZI KUTOKA UGANDA

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganishi

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.