• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

AFISA ELIMU MWANZA AWATAKA MAAFISA TAKWIMU KUHALALISHA UWEPO WAO

Posted on: August 15th, 2024

AFISA ELIMU MWANZA AWATAKA MAAFISA TAKWIMU KUHALALISHA UWEPO WAO


Afisa Elimu Mkoa wa Mwanza Mwl. Martine Nkwabi amewataka Maafisa Takwimu wa Halmashauri za Mkoa wa Mwanza kuhalalisha uwepo wao kwa kufanya kazi kwa bidii na kuboresha utendaji kazi wao ili kuifanya kazi ya kitengo hicho kuonekana.

Mwalimu Nkwambi ametoa wito huo leo Agosti 15, 2024 wakati alipokuwa akifungua kikao cha Maafisa Vifaa na Takwimu Msingi na Sekondari kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mwl. Nkwabi amesema kwa kipindi cha hapo nyuma kumekuwa na vitengo mbalimbali ndani ya Idara ya Elimu lakini kutokana na kutofanya vizuri kwa vitengo hivyo vimefutwa hivyo amewataka Maafisa hao pia kubadilika na kuhalilisha uwepo wao.

"Sisi tunatakiwa kubadilisha utendaji kazi wetu, Katika miaka kama 20 hivi vitengo katika Idara ya Elimu zimekuwa zikibadilika badilika kwa sababu wale waliopewa majukimu hayo walishindwa kuhalalisha zile nafasi zilizokuwepo na mimi sitaki yawakute hayo". Amesema.

Takwimu za elimu ni nyingi sana ndio maana mkawekwa nyinyi kuna takwimu za vitabu, kuna idadi ya Wanafunzi wenye ulemavu, Afisa Michezo anahitaji takwimu za Wanafunzi wanaoweza kucheza michezo mbalimbali, mkifanya vizuri katika uratibu wa sekta yenu hamtoamini mtakuwa mnatafutwa sana huko kwenye Halmashauri zenu kwa sababu kila mtu atahitaji kupata takwimu sahihi kutoka kwenu. Ameongeza Afisa Elimu.

Sambamba na hayo Afisa Elimu huyo amewataka Maafisa hao kuhuisha takwimu zao mara kwa mara kwa sababu mambo hubadilika, takwimu za mwaka jana sio za mwaka huu mambo mengi hapa kati yanatokea ikiwemo uhamisho wa Waalimu na Wanafunzi, Walimu wanaokwenda kusoma.

Aidha Afisa Elimu huyo amewataka Maafisa hao kufanya kazi kwa ushirikiano na Maafisa wengine kutoka Idara za Elimu kwani wote ni watumishi wa elimu na ikitokea unahitajika msaada wowote katika Idara basi mtu yoyote aweze kufanya shughuli hiyo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.