• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Bima ya Afya yahitaji Elimu – Mongella

Posted on: March 27th, 2018

Bima ya Afya yahitaji Elimu – Mongella

MKUU wa Mkoa wa Mwanza,John Mongella amewataka Wenyeviti wa Halmashauri na viongozi mbalimbali wa mkoa kuweka utaratibu wa wanatoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhumi wa bima afya.

Hayo aliyasema jana kwenye kikao cha kamati ya ushauri ya Mkoa (RCC) kilichohudhuliwa a viongozi mbalimbali wa Serikali ,dini na wanasiasa, alisema ni vema kuhakikisha wananchi wanapatiwa elimu ili waweze kutambua umuhimu wa kutumia bima ya afya.

” Nasikitika kuona watu hawatambui muhimu wa kujiunga na bima ya afya kwani hurahisisha matibabu na gharama yake ni ndogo tofauti na mtu ambaye hatumii huduma hiyo,” alisema Mongella.

Mhe. Mongella ameongeza kuwa ili kuweza kupunguza vifo kwa wananchi ni vema kila kiongozi kuweka utaratibu wa kuelimisha jamii katika maeneo yao lengo ikiwa kupunguza na kumaliza tatizo hilo kwani watapata matibabu wakati wote.

“Ili tuweze kupunguza vifo vya watoto na wananchi kwa ujumla ni vema kuweka utaratibu wa kuwaelimisha wananchi kuhusu kutumia bima ya afya kwani inasaidai pindi ukiwa hauna hela na unaumwa au kuuguliwa,”alisema Mongella.

Aidha, ni dhambi kuto hamasisha wananchi kuhusu kutambua faida ya bima ya afya ambayo ni mkombozi kwa wenye hali ya chini kwani hutumia pesa nyingi katika matibabu wakati viongozi wanatumia na wamejiunga huduma hiyo.

Naye Clement Pancras Mwenyekiti wa ‘Chama cha Democratic Part’ (DP) alisema ni vema kwa viongozi kuhamasisha wananchi katika mambo ya msingi ikiwemo bima ya afya kwa ustawi wa maisha yao na taifa kwa ujumla.

 Alisema kila mwanachi atakapokuwa na bima itasaidia hasa wenye hali ya chini ingawa changamoto iliyopo ni upatikanaji wa dawa ambao itamlazimu mgonjwa kutoa fedha za kununulia, hivyo aliiomba serikali kupeleka na kuhakikisha dawa zote zinapatikana katika hospitali zote na kuleta maana halisi ya kutumia huduma hiyo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. July 29, 2022
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2022 July 03, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI ICAP October 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC Malima ataka adhabu kali na marekebisho ya Sheria za barabarani dhidi ya wanaosababisha ajali kwa uzembe

    March 17, 2023
  • Tupo katika mchakato wa Katiba mpya-Mhe.Dkt.Ndumbaro

    March 17, 2023
  • Miaka miwili ya Rais Samia madarakani,Mwanza yajivunia kasi ya miradi ya maendeleo

    March 15, 2023
  • Mufti wa Tanzania Sheikh Dkt.Abubakar Zuber akemea maovu ndani ya Jamii

    March 15, 2023
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 33180, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.