• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

“ Elimu ya Kilimo cha Kisasa itolewe kwa Wananchi”- Mwanjelwa

Posted on: August 4th, 2018


Naibu waziri wa kilimo Mhe. Dkt Mary Mwanjelwa amezindua maonesho ya wakulima (nanenane) katika kanda ya ziwa magharibi inayojumuisha Mwanza,Geita,Kagera katika viwanja cha  Nyamongolo, ambapo maonyesho hayo yamehudhururiwa na wadau wapatao 330 wakubwa, wa kati 80, wadogo 250 na Mamlaka za Serikali za Mitaa 12.

Mhe. Dkt.Mwanjelwa amesema kuwa wadau hao wanajumuisha Taasisi za Umma,Taasisi za Utafiti, Taasisi za Elimu, Taasisi za Fedha, Makampuni ya Zana za kilimo na Pembejeo, Bodi mbalimbali za Mazao, Wakulima na Wafugaji,wasindikaji wa mazao mbalimbali, makampuni ya mawasiliano, na makampuni ya vinywaji.

Aidha kaulimbiu ya mwaka huu inasema kuwa“Wekeza katika kilimo,Mifugo na Uvuvi kwa maendeleo ya viwanda” hivyo Mhe. Mwanjelwa amesisitiza kwa  wah.Wakuu wa wilaya pamoja na Maafisa Ugani kufanya kazi ya kutoa elimu kwa wananchi ili kukuza maendeleo ya kilimo cha biashara.

“Changamkieni fursa ya kilimo kwani  ni maisha, kilimo kinasaidia kupunguza umaskini na tutakuza uchumi na biashara hivyo tutaimarisha,tutafufua na kuboresha vyama vya ushirika ili kuweza kuwakomboa wakulima,”alisema Mwanjelwa.

Naye Meneja wa kanda George Upina anayejishughulisha na kilimo cha kisasa amesema kuwa kilimo hiki hakijali msimu na kinazalisha mazao mengi kwa muda mfupi na kinalimwa popote itolewe elimu ili kuinua kilimo cha biashara na kukuza teknolojia katika kilimo.

Hta hivyo Mhe. Dkt. Mwanjelwa amesema kuwa atatoa vyeti kwa washiriki wote walioshiriki katika sherehe ya nanenane na kuwazawadia washiriki watakao fanya vizuri zaidi siku ya kilele cha maonesho ya sherehe za nanenane tarehe 08.08.2018

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWANZA, SIMIYU ZANG'ARA UTAMILIFU DARASA LA SABA KANDA YA ZIWA

    May 30, 2025
  • RAS MWANZA AZINDUA RASMI MRADI WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA SELI MUNDU

    May 30, 2025
  • WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAPIGWA MSASA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA WATOTO WA MITAANI

    May 29, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.