• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

KAMA TUNAHITAJI KUSONGA MBELE NI LAZIMA KUJIUNGA NA USHIRIKA – RAS BALANDYA

Posted on: June 24th, 2025

KAMA TUNAHITAJI KUSONGA MBELE NI LAZIMA KUJIUNGA NA USHIRIKA – RAS BALANDYA

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bwana Balandya Elikana amewataka Maafisa Usafirishaji na Wadau wa Usafiri na Usafirishaji Mkoa wa Mwanza kuhakikisha wanajiunga na vyama vya ushirika kwa kuwa ushirika una mchango mkubwa katika  uboreshaji wa maendeleo ya sekta ya usafiri na usafirishaji.

Katibu Tawala ametoa wito huo mapema leo Juni 24, 2025 wakati akifungua Mkutano wa Wadau wa Usafirishaji Mkoa wa Mwanza uliofanyika katika Ukumbi wa Ghand Hall, Jijini Mwanza na kutaka Mkutano huo kujadili namna bora ya uendeshaji wa wa sekta hiyo kwa njia ya ushirika.

Aidha, Bwana Balandya amesema Dira ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuona kuwa sekta ya usafirishaji nchini inakwenda sambamba na maendeleo ya kiteknolojia duniani hivyo kuweka msisitizo katika matumizi ya mifuno ya kidijitali kama mfumo wa tiketi mtandao.

“Kadhalika Serikali inahamasisha ushirika ili kuwawezesha wadau hawa kushirikiana, kupata mikopo kwa urahisi kuongeza nguvu ya sauti yao katika maamuzi na kutoa huduma kwa kuzingatia uweledi na ufanisi”. Katibu Tawala.

Ushirika ni muhimu sana, kama tunahitaji kupiga hatu kubwa na haraka ni lazima tujiunge na kuanzisha ushirika, ndio maana kuna msemo usemao kama unataka kufika mbali basi nenda na wenzako. Ameongeza Katibu Tawala Mkoa.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu LATRA, DCP Johansen Kahatano Mkurugenzi wa Brabara LATRA amesema wamekuwa na utaratibu wa kukutana na Wadau wa sekta ya usafirishaji na kutoa elimu kwa kila mwaka na kuona namna ya kuwafanya wadau hao kuungana na kuwa wenye nguvu na kutoka kwenye usafiri mdogo kwenda usafiri mkubwa.

Aidha amesema lengo lingine ni kuhakikisha wanachochea uchumi wa mtu mmoja mmoja ili uweze kuwa mkubwa na kisha waweze kushiriki vyema katika huduma ya usafirishaji hapa nchini.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMA TUNAHITAJI KUSONGA MBELE NI LAZIMA KUJIUNGA NA USHIRIKA – RAS BALANDYA

    June 24, 2025
  • RAS BALANDYA AFUNGUA MAFUNZO YA PEPMIS KWA WATUMISHI WA UMMA

    June 23, 2025
  • SHEREHE ZA BULABO KUPANDISHWA HADHI KUWA URITHI WA UTAMADUNI

    June 21, 2025
  • SUNGUSUNGU DAY YAFANA MWANZA, RAIS SAMIA ASIMIKWA UTEMI

    June 20, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.