• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Kamati ya Mipango Miji ya Jiji la Mwanza yavunjwa

Posted on: March 10th, 2023


WAZIRI wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Dkt. Angeline Mabula amevunja kamati ya mipango mji ya jiji la Mwanza iliyokuwa mwenyekiti wa kamati ya Ardhi na mipango miji wa jiji la Mwanza Hamidu Said na mkurugenzi wa jiji la Mwanza Yahya Sekieti(katibu wa kamati).

Waziri Mabula ametoa maamuzi hayo magumu Jijini Mwanza wakati wa kikao kazi cha viongozi wanaosimamia sekta ya ardhi kwa ngazi zote kuanzia wilaya , mitaa, kata na mkoa.

"' Kamati zote za mipango miji na zile za uchumi, Serikali ni moja tumefanya mawasiliano na  tunaenda kuchukua maamuzi magumu kwa ushauri pamoja na Waziri wa Tamisemi kamati ya mipango miji ya Jiji la Mwanza inaenda kuvunjwa na hakuna mjumbe hata mmoja atayetakiwa kurudi tena kwenye kamati Ile .'' Amesisitiza Waziri Mabula

Amesema katika mkoa wa Mwanza kumekuwa na tatizo kubwa la kudhulumu ardhi kwa wazee na wajane, na kuongeza kuwa kumekuwa na tatizo la utoaji vibali vya ukarabati wa majengo umekuwa unakiukwa sana.

Amezitaka Halmshauri zote nchini  kutenga maeneo ya uwekezaji na kuyalinda  kwa ajili ya kupokea wawekezaji.

 ''Suala la utatuzi wa mgogoro wa ardhi sio suala la Wizara eti kusema kuna mawaziri nane, nitashangaa eneo Lina mamlaka alaf mtu anasubiria Waziri, Mkuu wa mkoa au Mkuu wa wilaya, shughulikieni migogoro ya ardhi katika maeneo yenu".Amesema Mhe.Mabula

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Adam Malima amesema Kamati za ardhi zinashida sana na amemuomba Waziri Mabula kushugulika na wilaya ya Nyamagana kisha wilaya ya Ilemela.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.