• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

KAMPENI YA PAMBA DAY YAZIDI KUPAMBA MOTO,TAWI LA WANACHAMA LAFUNGULIWA BUCHOSA

Posted on: August 2nd, 2024

KAMPENI YA PAMBA DAY YAZIDI KUPAMBA MOTO,TAWI LA WANACHAMA LAFUNGULIWA BUCHOSA


Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya siku inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka Jijini Mwanza,Pamba Day,kampeni yake imezidi kuwabamba mashabiki baada ya kufunguliwa tawi jipya huko Buchosa wilayani Sengerema.

Tawi hilo la mashabiki wa Pamba Jiji FC limefunguliwa leo Agosti Mosi,2024 na katibu Tarafa wa kata ya Kahunda,Joseph Kapunda kwa niaba ya mkuu wa wilaya hiyo na kusisitiza huo ni muendelezo wa kufunguliwa matawi zaidi  wilayani humo.

"Tuna wajibu wa kushikamana kwa vitendo kuiunga mkono timu yetu ya Pamba Jiji FC ambayo mbali na burudani imekuja kuinua uchumi wa mkoa wetu,"Kapunda.

Amesema siku ya Pamba Day itadhihirisha furaha ya mashabiki kwa timu yao kwa kuujaza kwa wingi uwaja wa CCM Kirumba na mechi zote za ligi kuu ya NBC.

"Tulimsikia Mkuu wetu wa Mkoa Mhe Said Mtanda akituhimiza kushikamana na tuwe wachezaji wa 12 uwanjani siku zote za michuano ya timu ya Pamba Jiji akimaanisha kuishabikia uwanjani",amesisitiza katibu Tarafa wakati akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa tawi la mashabiki wa Pamba Jiji FC.

Mwenyekiti mteule wa tawi hilo Salawe Magembe                      amebainisha atahakikisha kwa kushirikiana na wanachama wenzake wanazidi kuliimarisha tawi hilo na kuwa wakereketwa wa kweli kwa timu ya Pamba Jiji FC

Mchezaji wa zamani wa Pamba miaka ya 90 ambaye alikuwa mlinda mlango Madata Lubigisa amewataka mashabiki wa soka kuhakikisha timu yao inadumu katika ligi hiyo na kuwa tishio kwa timu za uzito wa juu kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

"Nimefurahi mlivyo hamasika na timu yenu ya Wana Kawekamo TP Lindanda,Pamba Jiji FC ufunguzi wa tawi hili uwe msingi bora wa kupanga mikakati mbalimbali ya kuipa maendeleo timu yenu,"Agnes Magubu,kiongozi wa Kampeni ya Pamba Day

Kampeni hiyo inayoendelea kwenye wilaya zote za Mkoa wa Mwanza inakwenda Pamoja na uuzwaji wa tiketi za kuingilia siku ya Pamba Day na jezi za timu hiyo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWANZA, SIMIYU ZANG'ARA UTAMILIFU DARASA LA SABA KANDA YA ZIWA

    May 30, 2025
  • RAS MWANZA AZINDUA RASMI MRADI WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA SELI MUNDU

    May 30, 2025
  • WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAPIGWA MSASA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA WATOTO WA MITAANI

    May 29, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.