• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MADARASA MAPYA YAPUNGUZA MSONGAMANO NGUDU SEKONDARI

Posted on: October 11th, 2024

MADARASA MAPYA YAPUNGUZA MSONGAMANO NGUDU SEKONDARI


Wananchi wilayani Kwimba wameishukuru Serikali kwa mradi wa ujenzi wa miundombinu ya madarasa 10 na ofisi 4 za walimu katika shule ya sekondari Ngudu ambapo wamesema miundombinu hiyo imesaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani.

Hayo yamejiri leo tarehe 11 Oktoba, 2024 wakati mwenge wa uhuru ulipofanya ufunguzi wa miundombinu hiyo chini ya kiongozi ndugu Godfrey Mnzava.

Akiongea baada ya ufunguzi huo, kiongozi huyo amesema Rais samia ameamua kuboresha miundombinu ya elimu nchini ili kuwa na kizazi bora cha sasa na baadaye na akatoa rai kwa wanafunzi kutunza miundombinu hiyo ili iweze kuwasaidia wao na wanafunzi wenzao siku zijazo.

Naye Mkuu wa shule hiyo Mwl. Wilbard Mchele amesema mahitaji ya miundombinu ni madarasa 31 na iliyopo ni 25 na kwamba kumekua na ongezeko kubwa la wanafunzi lililopelekea msongamano darasani hivyo ujenzi wa madarasa hayo umeondoa msongamano darasani.

"Ndugu kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa, tunaishukuru serikali kwa kutuletea fedha hizi ambazo pamoja na kupunguza msongamano utasaidia pia kuboresha mazingira ya kufundisha na kujifunzia pamoja na kuongeza ufaulu wa wanafunzi kutokana na kuboresha mazingira." Mwalimu Mchele.

Amefafanua.

Halikadhalika, ndugu Mnzava amefungua mradi wa maji katika kijiji cha Mhulya uliotekelezwa kupitia fedha za serikali kuu (PforR) wenye uwezo wa kuzalisha lita 12,336 kwa gharama ya shilingi milioni 667.1 ambao utawanufaisha wananchi 3,147 wa kijiji hicho.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.