• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MAGU KUFUNGA DIMBA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOA WA MWANZA LEO

Posted on: July 20th, 2023

MAGU KUFUNGA DIMBA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOA WA MWANZA LEO


Halmashauri ya wilaya ya Magu, mapema leo tarehe 20 Julai, 2023 imepokea Mwenge wa Uhuru ukitokea Kwimba tayari kwa kuukimbiza kwenye miradi sita yenye thamani ya zaidi ya  Shilingi Bilioni 1.6 na kuhitimisha kwa Halmashauri za Mkoa wa Mwanza.

Akizungumza kwenye mapokezi yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Kabila, kaimu Mkuu wa Wilaya ya Magu Mhe. Hassan Masala amebainisha kuwa wapo tayari kukimbiza Mwenge wa Uhuru ambao unatarajiwa kukimbizwa kwenye miradi iliyoandaliwa kwenye ubora.

Mhe. Mkuu wa Wilaya amefafanua kuwa Mwenge wa Uhuru uwapo wilayani humo utakimbizwa kwenye eneo la umbali wa Kilomita 74 na kwamba wana shauku kubwa ya kuukimbiza ili umulike na kuangaza miradi ya wananchi ya maendeleo.

"Mwenge wa Uhuru utapokuwa kwenye Halmashauri yetu ya Magu utaweka jiwe la msingi kwenye mradi mmoja, utafungua mradi mmoja pamoja na kuzindua miradi minne yote ikiwa inang'ara na kupendeza." amefafanua Mhe. Masala.

Naye, Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Ndugu Abdalla Shaib Kaim amenadi ushirikiano kuwa ndio nguzo itakayofanikisha mbio hizo wilayani Magu na ametoa wito kwa wana Magu kutofanya shughuli zozote jirani na vyanzo vya maji ili kutunza na kuhifadhi mazingira.

Masala amesema ni lazima jamii iachane na tabia za kuchoma misitu wakati wa kuandaa mashamba, kuacha uvuvi haramu, kuacha uchimbaji wa madini ambao unaharibu mazingira na kutofanya shughuli ndani ya mita 60 kutoka kwenye vyanzo vya maji ili kulinda uoto wa asili.

Kaulimbiu ya mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 inasema "Tunza Mazingira, Okoa vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa viumbe hai kwa Uchumi wa Taifa."

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • FAMILIA NI NGUZO IMARA KATIKA KULINDA MAKUZI YA MTOTO: DKT. BITEKO

    May 24, 2025
  • RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NCBA KWA KUWAENZI WATEJA WAKE

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.