• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Makarani wa Sensa Mwanza wafanya zoezi la majaribio

Posted on: August 12th, 2022


Makarani wa Sensa ya Watu na Makazi Mkoani Mwanza leo Agosti 11, 2022 wamefanya mafunzo kwa vitendo kwaajiri ya  kutambua mipaka na kuhoji wanakaya kwa majaribio katika maeneo mbalimbali huku wakitumia Madodoso yaliyopo kwenye Vishikwambi.

Mkufunzi wa Mafunzo ya Sensa ngazi ya Mkoa kutoka kituo cha Maliasili, Sambona Peres amesema katika kituo chao wamewaandaa Makarani kuwa mabalozi kwa wananch kwa kuelimisha jamii juu ya zoezi hilo ili siku ya Sensa zipatikane takwimu sahihi.

Wakizungumza katika nyakati tofauti Makarani hao wamesema wapo tayari kwa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi kwani wamepatiwa mafunzo bora ya kuwawezesha kufanikisha zoezi hilo linalotarajiwa kufanyika jumanne ya Agosti 23, 2022 nchini.

Innocent Mijaya, Mwenyekiti wa Mafunzi Butimba amesema zoezi la dodoso la mipaka na sensa kwa mafunzo ni la siku moja na baadae watarudi tena kwa zoezi la kudodosa dodoso la majengo na kwamba kwa kutumia vishikwambi karani anaonekana amepita kwenye mipaka gani na nini amehoji.

"Kwa takribani siku 12 tumepata mafunzo ya nadharia darasani na sasa tupo katika mafunzo ya uwandani ambapo moja ya kazi ya karani ni kutambua mipaka kabla ya zoezi la kudodosa wanakaya waliopo ndani ya mipaka yake, na ndiyo kazi leo tunayofanya". Amesema Innocent.

Naye, Karani Joyce Ndomaa amejinasibu kuwa kwa kupitia mafunzo hayo ya vitendo wamekagua mipaka ya eneo la ziwa namba 2 Butimna na kwamba zoezi hilo la vitendo limewasaidia kuelewa zaidi kufuatana na mafunzo waliopewa darasani.


"Kwa sasa watu wanashangaa hivi tulivyoshika ni vitu gani, nasi tunaanza kuwaelimisha kuwa vifaa hivi ni vya kazi gani na tunawashukuru Wenyeviti wa mitaa na watendaji ambao wanatusaidia sana kufanikisha zoezi hili." Amesema Nyanda Patrick ambaye ni Karani kutoka darasa la Butimba.

Karani Mary Nyirenda ametoa rai kwa viongozi wa Serikali za Mitaa kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa zoezi la Sensa ya watu na makazi huku akibainisha kuwa kwenye eneo la Kawekamo wamekutana na changamoto kama za wanakaya kutokubali kuzungumza, kukataa kuhojiwa na kupelekea kupata taarifa zisizo sahihi kwa baadhi ya kaya hali ambayo inasababishwa na kutowakuta wakuu wa kaya.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.