• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Makatibu Tawala Wasaidizi, Maafisa Kilimo kanda ya Ziwa wapata mafunzo upatikanaji Pembejeo

Posted on: October 30th, 2023

Makatibu Tawala Wasaidizi, Maafisa Kilimo kanda ya Ziwa wapata mafubzo upatikanaji Pembejeo


Makatibu Tawala wasaidizi upande wa uzalishaji na uchumi kutoka mikoa ya Mwanza,Simiyu,Shinyanga na Geita pamoja na Maafisa Kilimo wametakiwa kuja na matokeo chanya baada ya kupatiwa mafunzo ya mradi wa upatikanaji wa Pembejeo za kilimo nchini maarufu kama TAISP.

Akifungua mafunzo hayo leo Oktoba 30,2023 kwenye ukumbi wa mikutano wa TFDA Buzuruga Mkoani Mwanza,mwakilishi wa Mkurugenzi Sekta za Uchumi na Uzalishaji kutoka Tamisemi,Bi. Hofu Mwakaje amesema mradi huo uliolenga zao la mpunga kwa mikoa hiyo una nia ya kuleta tija kwa wakulima wanawake na vijana.

Amebainisha baada ya kufanyiwa kazi changamoto zilizochangia kuzorota kwa zao la mpunga likiwemo ukosefu wa mbegu bora na mbolea,sasa Maafisa hao  wana wajibu wa kusimamia vyema kilimo hicho.

"Mradi sasa umewatumia vyema wataalamu kutoka Taasisi za kilimo kwa kuzifanyia utafiti mbegu bora na mbolea za kisasa na kuwawekea mazingira rafiki Maafisa ugani wote ili malengo ya uzalishaji wenye tija upatikane",Bi.Hofu

Awali akiwakaribisha Maafisa hao mwenyeji wa kikao hicho ambaye ni Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji,Emil Kasagara amempongeza Rais Samia kwa kufanya uwekezaji mkubwa kwenye Sekta ya Kilimo,hivyo wahusika wana wajibu wa kuwajibika ipasavyo.

"Mradi huu wa miaka 5 umewalenga jumla ya wakulima 1,200,000 uonafadhiliwa na JICA kwa zao la mpunga kwa mikoa 4 na ADB mikoa 10 kwa mazao ya ngano na alizeti,"Lisa Chawe,mratibu wa mradi.

Mshauri wa mradi wa upatikanaji wa Pembejeo za kilimo TAISP, Deo Mavika amesema sababu ya mradi huo hapa nchini ni kutokana na vita vya Urusi na Ukraine Mataifa ambayo ni wazalishaji wakubwa wa ngano ulimwenguni,ugonjwa wa Uviko na Uzalishaji hafifu wa mazao hayo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.