Leo Agosti 27, 2025 Mwege wa Uhuru umekabidhiwa wilayani Magu ambapo Mkuu wa wilaya hiyo Mhe. Jubileth Lawuo amesema Mwenge wa Uhuru wilayani humo utakimbizwa katika umbali wa kilomita 110 ukiifuata miradi 8 yenye thamani ya Tshs. Bilioni 2.14.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.