Mkuu wa wilaya ya Kwimba Mhe. Arch. Ng’wilabuzu Ludigija amepokea Mwenge wa Uhuru leo tarehe 28 Agosti, 2025 ambao utakimbizwa wilayani humo katika Majimbo ya Sumve na Kwimba kwa umbali wa Kilomita 102 ukiifikia Miradi 6 yenye thamani ya Tsha. Bilioni 1.5.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.