• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAIS SAMIA ATOA BILIONI 18 UPANUZI WA BANDARI MWANZA : RC MAKALLA

Posted on: January 19th, 2024

RAIS SAMIA ATOA BILIONI 18 UPANUZI WA BANDARI MWANZA : RC MAKALLA


*Gati ya Kuegesha Meli kubwa ikiwemo MV Mwanza kujengwa*


*Aridhishwa na Ujenzi ataka Kasi iendane na Meli kutia nanga Mwezi Mei*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amemshukuru Rais Samia kwa kutoa zaidi ya Bilioni 18 kwa ajili ya upanuzi wa bandari ya Mwanza Kaskazini ambao unahusisha ujenzi wa jengo la abiria pamoja na Gati kwa ajili ya Maegesho ya Meli kubwa.


Mhe. Makalla amebainisha hayo leo januari 19, 2024 alipofika kwenye Bandari hiyo kwa ajili ya Ukaguzi wa maendeleo ya shughuli hizo zinazotekelezwa chini ya Usimamizi wa Mamlaka ya Bandari ya nchini.

Amesema serikali ya Rais Samia imetoa fedha hizo ili kuhakikisha sio tu upanuzi wa bandari hiyo muhimu kwa wasafiri wa ukanda wa ziwa victoria bali pia kwa ajili ya ufanisi wa uendeshaji wa Meli ya Kisasa ya MV Mwanza Hapa kazi tu ambayo inatarajiwa kukamilika mwezi Mei mwaka huu.


Makalla ameseam ameridhishwa na ujenzi wa Gati hiyo na akaagiza kasi iongezwe ili kuhakikisha mara itakapokamilika meli ya MV Mwanza iweze kupaki Bandarini hapo kwani inasubiriwa na wananchi wa ukanda wa maziwa makuu na nchi za jirani kwa ajili ya kusafirisha abiria na mizigo.

Aidha, amewataka Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuwahamishia wafanyabiashara wadogo wanaojihusisha na uuzaji wa Dagaa na Samaki kwenye eneo jingine ili wapishe ujenzi huo kwa maslahi mapana ya Taifa.

Naye, Mkurugenzi wa Halmashauri jiji la Mwanza Aron Kalugumjuli amebainisha kuwa tayari halmashauri hiyo imeandaa eneo la Nella kwa ajili ya kuwahamishia wafanyabiashara hao na kwamba kwa sasa wapo kwenye uhimarishaji wa eneo hilo kwa kuwajengea Choo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.