Leo Septemba 17, 2025 Afisa Uchaguzi Mwandamizi kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Yohana Mcharo akiwa na timu yake wamemtembelea Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ofisini kwake wakiwa na adhma ya kujitambulisha na kutambulisha uwepo wa Tume na majukumu ambayo watakuwa nayo katika Mkoa wa Mwanza hasa masuala ya uchaguzi.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.