• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA APOKEA UGENI KUTOKA CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA

Posted on: January 8th, 2024

RC MAKALLA APOKEA UGENI KUTOKA CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA


*Kutembea Miradi ya Kimkakati Mkoani humo*


*Asema Mwanza inaongoza kwa kukuza kiuchumi*


*Ampongeza Mhe. Rais kutekeleza Miradi ya Kimkakati*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla leo Januari 08, 2024 amepokea Ugeni wa Ujumbe wa Kozi ya 12 ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania (NDC) walio kwenye ziara ya kimafunzo ya wiki moja mkoani humo.


Akizungumza na Ujumbe huo kwenye Ujumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Makalla amewapongeza kwa Kazi nzuri wanayofanya na kuchagua Mwanza kuwa sehemu ya mafunzo kwani Mkoa huo una maeneo mengi ya kujifunza hususani masuala ya Usalama.

Vilevile, amebainisha kwao kuwa Mwanza ni mkoa unaokua kwa kasi kiuchumi na kwamba Miradi ya Kimkakati inayoendelea kutekelezwa pamoja na uboreshaji wa Uwanja wa Ndege Kuwa wa kimataifa itaifanya Mwanza kuwa kitovu cha Uchumi.

Mkuu wa Chuo Meja Jenerali Wilbert Augustine Ibuge amebainisha kuwa Ujumbe huo umekuja Mwanza kuona miradi ya kimkakati inayotekelezwa Nchini ambayo inaonesha nia kubwa ya kuboresha kuwa na Usalama wa Maendeleo.

Aidha, ametumia wasaa huo kuipongeza Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa kubuni Miradi mikubwa inayolenga kukua biashara na kupata Uhimilivu wa Mapato hususani Stendi ya Nyegezi pamoja na Soko kubwa la Kimkakati ya Mjini kati.

Vilevile, ametaja Miradi kama Reli ya Kisasa (SGR) lakini pia hata Meli ya MV Mwanza pamoja na Uwanja wa ndege unaoboreshwa ili kufikia hadhi ya kimataifa yote tutaifikia katika kuhakikisha wanafunzi wanaona utekelezaji wake huku wakilinganisha na elimu waipatayo Darasani.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.