• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AWAONGOZA MASHABIKI WA SOKA MWANZA, PAMBA JIJI FC IKIKATA UTEPE KWA USHINDI MNONO

Posted on: September 11th, 2023

RC MAKALLA AWAONGOZA MASHABIKI WA SOKA MWANZA, PAMBA JIJI FC IKIKATA UTEPE KWA USHINDI MNONO


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA Amos Makalla leo amewaongoza mashabiki wa soka uwanjani Nyamagana wakiishuhudia timu ya soka Pamba Jiji FC ikikata utepe wa michuano ya Championship kwa ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Cosmo politan

Mhe.Makalla ambaye ni mlezi wa Pamba Jiji FC alionekana jukwaani muda wote akiwa mwenye furaha kutokana na kandanda la kitabuni lililosakatwa na vijana wake muda wote wa mchezo na kuchagiza ushindi huo.

Katika mpambano huo wana TP LINDANDA wakiwa na wachezaji waliotamba Ligi kuu msimu uliopita akiwemo Haruna Chanongo, Peter Mwalyanzi na Shaaban Kado hadi ngwe ya kwanza inamalizika walikuwa wanaongoza mabao 3-0 kabla ya ngwe ya pili kuongeza bao la nne.

Mara baada ya mchezo huo kocha wa timu ya Pamba Jiji Mbwana Makatta amewapongeza wachezaji wake kwa ushindi huo na kuahidi kuzifanyia kazi baadhi ya kasoro za kiufundi ikiwemo umaliziaji na wachezaji kuongeza kasi dimbani.

Kabla ya kuanza kwa michuano hiyo ya msimu huu mlezi wa Pamba Jiji FC CPA. Amos Makalla amewataka wananchi wa Mwanza kuiunga mkono timu hiyo hasa kujitokeza uwanjani na kuichangia kwa hali na mali kwa lengo la kuwaongezea ari wachezaji, huku timu hiyo ikiwa tayari chini ya umiliki wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

Kwa ushindi huo wana TP Lindanda wanaongoza kwenye msimamo wa Ligi hiyo wakiwa na mtaji wa pointi 3 na mabao ya kufunga manne kabla ya kushuka tena dimbani Ijumaa hii kumenyana na Pan African kwenye uwanja mkongwe wa Nyamagana.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.