• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AAHIDI USHIRIKIANO ZAIDI JJI LA MWANZA NA TAMPERE-FINLAND

Posted on: February 7th, 2025

RC MTANDA AAHIDI USHIRIKIANO ZAIDI JJI LA MWANZA NA TAMPERE-FINLAND


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amempokea Balozi wa Finland nchini Mhe.Theresa Vitting na kumuahidi ushirikiano zaidi katika sekta mbalimbali baina ya Jiji la Mwanza na Tampere ili kuwaletea maendeleo wananchi na kukuza uhusiano huo.

Akizungumza na mgeni wake leo Februari 7, 2025 Ofisini kwake Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha nchi ya Finland ni miongoni mwa Mataifa ya mwanzoni kabisa kuingia uhusiano wa kibalozi mara baada ya kupata uhuru mwaka 1961 na kumekuwa na muendelezo mzuri baina ya Mataifa hayo.

"Mwaka 1965 tuliingia rasmi kwenye mahusiano ya kibalozi na Finland,na wamekuwa na mchango mkubwa kwetu katika sekta mbalimbali ikiwemo uchangiaji wa kiwango kikubwa wa bajeti yetu", Mhe. Mtanda.

Amesema kwa upande wa Jiji la Mwanza wamekuwa wanufaika wazuri kwa upande wa Elimu, mazingira na wataalam mbalimbali na pia ametoa fursa kwa Finland kuona uwezekano wa kuwekeza katika ufugaji wa kisasa wa samaki.

"Mwanza asilimia 53 imezungukwa na maji ya ziwa Victoria, Serikali imewekeza kwa vijana kujishughulisha na ufugaji wa kisasa ni fursa nzuri endapo itawapendeza", Mkuu wa mkoa.

Kwa upande wake Mhe,Theresa Vittinng amesema Finland imefurahishwa na matokeo mazuri ya mahusiano na Tanzania na ssa inaangalia namna ya uwekezaji katika madini wakianzia mnyororo wote wa thamani katika utafiti,maabara na kuwajengea uwezo wachimbaji wadogo.

"Leo nipo Mwanza nitakwenda chuo cha ualimu Butimba tunataka kuboresha upande wa michezo,hatulichukulii kama jambo la kufurahisha tu lakini tunatambua umuhimu wake katika Dunia ya sasa",amesisitiza Bi.Theresa

Jiji la Mwanza na Jiji la Tampere kutoka Finland waliingia mahusiano kuanzia mwaka 1988 hadi sasa wakishirikiana mambo mbalimbali ukiwemo usafi wa mazingira

.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.