• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AKABIDHIWA OFISI RASMI, AAHIDI UTUMISHI WA USHIRIKIANO

Posted on: April 6th, 2024

RC MTANDA AKABIDHIWA OFISI RASMI, AAHIDI UTUMISHI WA USHIRIKIANO


Kufuatia Mabadiliko aliyoyafanya Rais Samia siku za karibuni, leo Aprili 06, 2024 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mohamed Mtanda amekabidhiwa rasmi Ofisi na aliyekua Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Amos Makalla baada ya kuhamishiwa kutoka Mkoa wa Mara.

Akiongea na hadhara baada ya makabidhiano hayo Mhe. Mtanda amesema katika uongozi wake ataendeleza yale yote yaliyoasisiwa na mtangulizi wake na kwamba anaamini kwenye ushirikiano hivyo anautegemea kwa viongozi wote naye atashirikiana nao kwa dhati.

Naye, aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Mwanza  Mhe. CPA Amos Makalla amemshukuru Rais Samia kwa kuendelea kumuamini na baada ya kumtoa kwenye Mkoa wa Mwanza amemteua kwenda kuhudumu kwenye nafasi ya Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo.

Aidha, ameipongeza Serikali kwa miradi lukuki ya kimkakati hususani Reli ya SGR, Daraja la Kigongo-Busisi, Ukarabati wa Meli ya mizigo pamoja na ujenzi wa Meli ya kisasa ya MV Mwanza pamoja na uboreshaji wa uwanja wa ndege kuwa wa Kimataifa kwamba ukamilifu wa miradi hiyo utaifungua zaidi Mwanza kiuchumi.


Aidha, amewashukuru watumishi na viongozi wote alioshirikiana nao katika kuwaletea maendeleo wananchi hususani amewasifu kwa kutembea naye sambamba vijijini ambako muda mrefu alifika kwa ajili ya kuwasikiliza wananchi katika kuwasikiliza na kutatua migogoro inayowakabili.

Hafla hiyo fupi imehudhuriwa na Kamati ya Usalama Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Makatibu Tawala, Kamati ya amani, Shirikisho la vyama la wenye ulemavu, viongozi wa vyama vya siasa, wazee wa Mkoa wa Mwanza, Watemi na Machifu, Kamati Tendaji ya Pamba Jiji FC, Chuo cha SAUT, Watumishi wa RS pamoja na Wafanyabiashara.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.