Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Bi. Edith Mwaje pamoja na Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria, Dkt. Masinde Bwire waliozuru ofisini kwake kwa salamu na mazungumzo mafupi.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.