• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUTOA FEDHA CHANJO ZA MIFUGO

Posted on: December 20th, 2024

RC MTANDA AMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUTOA FEDHA CHANJO ZA MIFUGO


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amemshukuru na kumpongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kugharamia chanjo za mifugo nchini hususani Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo na Kuku.

Ametoa pongezi hizo leo tarehe 20 Desemba, 2024 Ofisini kwake wakati akizungumza na Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Ashatu Kijaji aliyefika kusalimia kufuatia ziara yake ya kikazi Mkoani Mwanza baada ya uteuzi wa kuongoza Wizara hiyo alioupata hivi karibuni.

Mhe. Mtanda amesema wananchi wa Mkoa wa Mwanza wanajihusisha sana na shughuli za uvuvi na Ufugaji hivyo kwa msaada wa gharama za chanjo wafugaji wataongeza kipato na kukuza ufugaji kutokana na uwepo wa eneo la kutosha na rafiki kwa ufugaji.

Aidha, ametumia wasaa huo kuwataka Wakurugenzi wa Halmashauri kutenga bajeti kusaidia juhudi za wizara hiyo katika uvuvi wa kisasa mathalani mradi wa BBT kwenye uvuvi hususani ujenzi wa gati za kuegesha boti na kurekebisha barabara ziweze kupitika kurahisisha uvuvi.

Naye, Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Ashatu Kijaji amebainisha kuwa kuku milioni 140 watachanjwa bure huku ng'ombe milioni 19 wakitarajiwa kuchanjwa na wafugaji watachangia gharama kwani Serikali itatoa Tshs. 500 kwa ng'ombe mmoja na Tshs. 300 kwa Kondoo na Mbuzi.

Vilevile, ametoa wito kwa wakuu wa mikoa inayojihusisha na uvuvi kushirikiana na wizara kukomesha uvuvi haramu na kwenye kutekeleza hilo akabainisha kuwa wakamatwe viongozi wa shughuli hiyo haramu.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAKUZI YA AWALI YA MTOTO MSINGI WA UJENZI WA TAIFA IMARA - RAS BALANDYA

    May 16, 2025
  • RC MTANDA AWAKARIBISHA MWANZA WANAFUNZI KUTOKA UGANDA

    May 15, 2025
  • RC MTANDA AKOSHWA NA BONANZA LA USHIRIKA NA MABENKI

    May 14, 2025
  • RAS MWANZA ATAKA UHAMASISHAJI CHAKULA CHENYE LISHE KUONGEZEKA SHULENI

    May 13, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.