• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA ATETA NA VIONGOZI NA WACHUNGAJI WA KANISA LA ANGLIKANA MWANZA

Posted on: December 4th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Desemba 04, 2025 amefanya ziara katika Kanisa la Anglikana Tanzania Dayosisi ya Victoria Nyanza, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi pamoja na Wachungaji wa Kanisa hilo ambapo lengo la ziara hiyo ni kuhamasisha amani, utulivu na mshikamano.

Mkuu wa Mkoa amesema ujio wake kanisani hapo ni muendelezo wa kile alichokiita ziara ya amani kuyafikia makundi mbalimbali kupitia Viongozi wao ili nao wakawasilishe ujumbe wa amani na mshikamano kwa wale wanaowaongoza au wafuasi wao.

“Nchi hii ina watu milioni 60, na Mungu anasema hata wakikutanika watu wawili tu wakamwomba kweli, basi Mungu anasikia na anaweza kuwaponya wote”.

Tumuombe Mungu atusaidie kutuepusha na mabalaa ya uvunjifu wa amani, tumlilie Mungu na Mungu wetu atajibu tuna imani hiyo. Ameongeza Mkuu wa Mkoa.

Sambamba na hayo RC Mtanda amewataka Viongozi hao kutojihusisha na siasa za ubaguzi anbazo zinapelekea kuharibu amani ya nchi ambayo ni tunu ya Taifa ikiwa imejengwa kwa misingi imara na ya muda mrefu.

Akizungumza mara baada ya kupokea wito huo Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dayosisi ya Victoria Nyanza, Zephania Ntuza amesema maneno ya Mkuu wa Mkoa ni yamewafunua na kuwapa uelewa wa kina hivyo hawana budi kuyatekeleza kwa vitendo na watahakikisha wanatoa elimu hiyo ya amani kwa waumini wao.

Mpaka sasa Mkuu wa Mkoa amekutana na kufanya mazungumzo na makundi mbalimbali akilenga kuhamasisha amani na utulivu suala ambalo ameliita kama agenda ya muhimu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA ATETA NA VIONGOZI NA WACHUNGAJI WA KANISA LA ANGLIKANA MWANZA

    December 04, 2025
  • RC MTANDA AWAALIKA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA ZA MIKOPO KUTOKA TADB

    December 03, 2025
  • RC MWANZA AKUTANA NA VIONGOZI & WACHUNGAJI WA AICT ASISITIZA AMANI NA MSHIKAMANO

    December 02, 2025
  • TUWE WABUNIFU KWENYE KAZI TUSISUBIRI KUELEKEZWA- RAS BALANDYA

    December 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.