• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA ATOA WITO USHIRIKIANO WA SEKTA BINAFSI NA UMMA KATIKA KUKUZA UCHUMI

Posted on: March 14th, 2025

RC MTANDA ATOA WITO  USHIRIKIANO WA SEKTA BINAFSI NA UMMA KATIKA KUKUZA UCHUMI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amefungua mkutano wa Baraza la biashara la Mkoa na kuhimiza ushirikiano baina ya sekta binafsi na umma ili kukuza uchumi wa Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Akizungumza na wajumbe wa baraza hilo leo Machi 14, 2025 katika mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya mkuu wa mkoa,,Mtanda amesema siri ya mafanikio ya ukuaji wa uchumi ni ushirikiano na kutatua changamoto zinazojitokeza kwa pamoja na siyo kukimbilia sehemu zisizo na msaada.

"Ofisi ya mkuu wa mkoa ndiyo mahali mwafaka wa kufikisha kero au changamoto zinazotishia kukwamisha shughuli za kibiashara,msikimbilie kwenye vyombo vya habari huo siyo uamuzi sahihi," Mtanda

Kuhusu uchumi wa Mkoa wa Mwanza ambao kwa mujibu wa takwimu ya mwaka 2020-23 Mkoa huo umechangia Tshs Trilioni 13.5,Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha Serikali imewekeza miradi ya kimkakati ya Tshs Trilioni 5.6 hivyo itakapokamilika uchumi utazidi kupiga hatua.

"Tuna miradi iliyo mbioni kukamilika ikiwemo Daraja la JP Magufuli,Meli mpya ya Mv Mwanza na upanuzi wa uwanja wa ndege,vyote hivyo vikikamilika wigo wa biashara kutoka nchi jirani utapanuka na kuongeza uchangiaji wa pato la Taifa, ambapo sasa Mwanza inachangia 7.2% ukiwa ni Mkoa wa pili baada ya Dar-e-s Salaam inayoongoza kwa kumchangia 17% "Mkuu wa Mkoa.

Kwa upande wake Mtendaji mkuu wa Baraza la biashara la Taifa Dr.Godwill Wanga ameipongeza Serikali kwa kwa kutoa fursa zaidi za uwekezaji kwa sekta binafsi hali ambayo imeifanya sekta hiyo kuzidi kupiga hatua na kuongeza ajira.

"Miaka ya nyuma sekta binafsi ilikuwa inachangia 30% lakini sasa inachangia 60% na Serikali 40% hii ni hatua ya kujivunia,"Mtendaji mkuu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.