• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWAALIKA WASANII KUTUMIA VIVUTIO VYA MWANZA KUTENGENEZA VIDEO

Posted on: January 30th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka wasanii na watayarishaji wa maudhui kutumia Jiji la Mwanza kama eneo la kutengeneza video mbalimbali, akisema mkoa huo una vivutio vingi vya kipekee vinavyoweza kuitangaza Mwanza na Tanzania kwa ujumla duniani kote.

Mhe. Mtanda amesema Serikali ya Mkoa iko tayari kutoa ushirikiano na msaada kwa wasanii na wadau wote wanaotaka kuwekeza katika utengenezaji wa video na kazi za sanaa ndani ya Mwanza.

Kauli hiyo imetolewa wakati wa kikao kifupi kati ya Mkuu wa Mkoa na msanii wa kikazi kipya, Mbwana Yusuph Kilungi maarufu kama Mboso, ambaye yupo Jijini Mwanza kushiriki tamasha la Goodmorning Rocky City Season One litakalofanyika katika Kumbi za Climax zilizopo Rocky City Mall.

Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, ambapo Mhe. Mtanda amempongeza msanii huyo na kuhimiza wasanii kutumia sanaa kama chombo cha kutangaza utalii, utamaduni na fursa zilizopo mkoani Mwanza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • NYANZA YATAKIWA KUHAKIKISHA PEMBEJEO ZA PAMBA ZINAWAFIKIA WAKULIMA KWA WAKATI

    January 30, 2026
  • WAKULIMA WATAKIWA KUTUMIA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA KUKUZA UCHUMI

    January 30, 2026
  • USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO UNAHITAJI UWAJIBIKAJI WA PAMOJA

    January 30, 2026
  • WANANCHI MWANZA WATAKIWA KUCHANGAMKIA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 30, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.