Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda mapema leo Februari 09, 2026 amewasili Wilayani Ukerewe kwa ziara ya kikazi, lengo likiwa ni kukagua miradi ya Maendeleo ya Sekta ya Afya na Elimu pamoja na Uandikishaji wa Wanafunzi.

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.