RC MTANDA,RAS BALANDYA WAFANYA MAZUNGUMZO NA KM UCHUKUZI PROF.KAHRARA
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda akiwa na Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana kwa pamoja wamekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi Prof. Godius Walter Kahyarara mazungumzo yaliyofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Jijini Mwanza leo Februari 19, 2025.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.