• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Mwanza azitaka Halmashauri zote kutenga ardhi kwa Wawekezaji

Posted on: April 14th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe,Mhandisi Robert Gabriel amezikumbusha Halmashauri zote Mkoani humo kuweka kipaumbele maeneo ya ardhi kwa ajili ya Wawekezaji.


Mkuu wa Mkoa amesema hayo wakati wa kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa wa  Mwanza,amesema Mkoa huo una fursa nyingi za biashara na ardhi ndiyo mtaji wa msingi katika suala la uwekezaji.


"Naagiza maeneo yote yawe yamepimwa ili anapofika mwekezaji kusiwepo na ubabaishaji wa kuanza kumzururisha ili kujenga ushawishi wa kupata chochote,tutapoteza kuwapata wenye nia ya kuwekeza"

Gabriel amesema pia eneo kubwa la Mkoa wa Mwanza ni maji lenye Ziwa Victoria hivyo tunapozungumzia Uchumi wa bluu tutambue fursa zilizopo Ziwani humo likiwemo ufungaji wa Samaki kwa njia ya Vizimba.


"Hizi ni fursa ambazo tuna wajibu wa kuzisimamia na kuweka mazingira mazuri kwa Mwananchi ili kukuza Uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa Kwa ujumla."


Katika kikao hicho Mkuu huyo wa Mkoa amekiri mgogoro wa kimataifa kwa Mataifa ya Ulaya,Urusi na Ukraine imechangia Uchumi kunyumba na kuchangia bidhaa kupanda bei hasa ya nishati ya Mafuta,amewataka Wafanyabiashara kujenga mshikamano wa pamoja kwa kipindi hiki cha mpito na siyo kutumia nafasi hiyo kumtwisha mzigo mwananchi kutokana na upandaji bei ya bidhaa.


Kikao hicho cha Baraza la Biashara la Mkoa wa Mwanza wamezungumzia na kuweka mikakati mbalimbali ya kukuza Uchumi wa Mkoa huo.


Baraza la Biashara la Mkoa wa Mwanza linawajumuisha Wafanyabishara wakubwa wenye Viwanda,Taasisi za Serikali na binafsi, na wajumbe wa

Mabaraza ya Biashara kutoka Wilaya

 zote za Mkoa wa Mwanza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.