• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

SERIKALI YA AWAMU YA SITA INAJALI MAISHA YA WANANCHI WAKE - WAZIRI MKUU

Posted on: January 23rd, 2026

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (MB) mapema leo ijumaa tarehe 23 Januari, 2026 ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa kituo cha kuratibu ufuatiliaji na uokozi katika ukanda wa ziwa Victoria wilayani Ilemela.

Akiongea na wananchi baada ya ukaguzi huo Dkt. Nchemba amesema Serikali ya awamu ya sita inajali maisha ya wananchi wake na kwamba inajipambanua kwa dhamira ya kuwaletea wananchi maendeleo kwa kutekeleza miradi mikubwa hata iliyoshindikana siku za nyuma.

“Jambo hili linahusisha masuala ya kidharula, watendaji kwenye mradi huu msisinzie hata kidogo maana mtaleta maafa kwa kuangamiza maisha ya watu na vifaa vya kisasa vilivyowekwa kwa gharama kubwa kwa fedha ambazo Mhe. Rais ameweka hapa pamoja washirika wenzetu” Mhe. Waziri Mkuu.

Akimkaribisha Mhe. Waziri Mkuu, Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof Makame Mbarawa amesema ukanda wa ziwa victoria umekua na changamoto kubwa ya ajali za majini ambapo takribani watu 20 wamefariki maji na ndipo Serikali ikaamua kuwa na kituo hicho kwa ajili ya uokozi.

Naye, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Uwakala wa Meli nchini (TASAC) Mohamed Salum amesema Kituo hicho ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa kimataifa wa Afrika Mashariki wa kuzuia matukio ya ajali na upotevu wa maisha ya watu ambao uliidhinishwa na Baraza la Mawaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2007.

Aidha, amebainisha kuwa mnamo mwaka 2022 hadi 2025 mradi huo ulianza rasmi kutekelezwa kwa pamoja na Mataifa ya Tanzania na Uganda ambapo umelenga kuimarisha usalama wa vyombo kwa kuongeza wigo wa ufuatiliaji wa ajali kwenye vyombo vya usafiri pamoja na wavuvi katika eneo la maziwa.

Aidha, amebainisha kuwa kituo hicho rasmi cha utafutaji na uokoaji na kupata taarifa halisi za hali ya hewa kwa gharama za Tshs. Bilioni 19.8 kwa upande wa Tanzania huku ikijumuisha gharama za vituo vya Uokoaji vitatu, Boti, Maboya pamoja na jengo katika eneo la kituo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MTAKUWAA MWANZA YAWEZESHA KUPUNGUZA WATOTO WA MTAANI KWA 50%

    January 26, 2026
  • RC MTANDA: DHAMIRA NI MSINGI WA KUFANIKISHA SHUGHULI ZA MWENGE WA UHURU 2026

    January 26, 2026
  • NDC WAHITIMISHA ZIARA YA MAFUNZO MWANZA

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU AZINDUA MELI MPYA YA MV NEW MWANZA, ATOA MAAGIZO KWA MIRADI ILIYOSIMAMA

    January 23, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.