• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Serikali ya Brazil na Wadau wawapa nguvu Wakulima wa Pamba Mwanza

Posted on: July 27th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Mhandisi Robert Gabriel ametoa rai kwa wadau wa Kilimo Mkoani Mwanza kuunga mkono jitihada zinazolenga kuboresha uzalishaji wa zao la pamba ili kuongeza kipato kwa wananchi kwani ndio zao kuu la biashara Mkoani humo.

Amesema hayo leo Julai 27, 2022 katika kikao kilichofanyika kwenye Hoteli ya Gold Crest mjini humo cha Kamati ya Uendeshaji Mradi wa zaidi ya Pamba 'Beyond Cotton' wenye thamani ya zaidi ya Tshs Bilioni 2 chini ya udhadhili wa Serikali ya Brazil na wadau wengine.

Mhe. Mkuu wa Mkoa amefafanua kuwa Miongoni mwa manufaa ya zao la Pamba ni kuwa linavumilia ukame ukilinganisha na mazao mengine hasa kwa kuzingatia mabadiriko ya tabia nchi ambapo mkoani humo wamekua wakikumbwa zaidi ya mabadiriko hayo.


Vilevile, Mkuu wa Mkoa ameishukuru Serikali ya Brazil kupitia 'Brazilian Cooperating Agency' kwa ufadhili wa Mradi huo nchini na ametoa rai kwa watumishi wa wizara ya Kilimo kuongeza ushirikiano kwenye mradi huo ambao utasaidia sana kufikia adhma ya serikali ya awamu ya sita ya kuinua kilimo ambacho ni nguzo kuu ya uchumi wa nchi.

Amefafanua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuwainua wananchi wapatao takribani asilimia 65 waliojiajiri kwenye Kilimo na ndio maana imegawa vitendea kazi kwa Maafisa Ugani ambapo kwa Mwanza pekee wamepata Pikipiki 45 huku ikidhamiria kuwapatia maafisa Ugani wote 274 waliopo Mkoani humo.


Aidha, ametoa wito kwa wakulima kufuata maelekezo ya wataalamu wa Kilimo juu ya taratibu za kufuatwa kwenye kilimo cha pamba ili waweze kupata mazao mengi kama suala la upandaji wa kufuata sentimita 30 kwa 60 kati ya mche kwa mche na mstari kwa mstari ambayo husaidia kuongeza mazao.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.