• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Taasisis ya Mkapa Yawajengea uwezo Wahudumu wa Afya

Posted on: June 25th, 2018

Taasisi ya Benjamini  Mkapa  kwa kushirikiana na Serikali imeahidi kuendelea  kutoa huduma za afya, kujenga vyumba vya upasuaji na kujenga nyumba za watumishi wa afya katika maeneo mbalimbali nchini   ili kuboresha mifumo na huduma bora za afya kwa jamii.

Akiongea katika warsha ya ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wahudumu wa afya  ngazi ya jamii yatakayodumu kwa siku mbili jijini mwanza, Afisa sera na uraghabishi Bi. Christina Godfrey alisema, mafunzo hayo yatawawezesha wahudumu hao kufanya kazi kwa ufanisi na kuleta matokeo tarajia katika jamii.

“ Matarajio ya mafunzo haya ni kutoka na mkakati utakao wahusisha viongozi wa jamii,namna ya kutatua changamoto zitakazo ibuka baada ya kuwaweka wahudumu katika ngazi ya jamii na njia watakazo tumia katika kutatua changamoto hizo katika halmashauri zao” alisema Godfrey.

Naye Mratibu wa huduma za afya ngazi ya jamii Dokta Shaba Kelasi alisema kuwa mafunzo hayo yanatolewa kwa muda wa mwaka mmoja ili kuwajengea uwezo wahudumu wa afya kutoa huduma hizo katika vipengele tofauti tofauti kama programu ya mama na mtoto ,ukusanyaji taarifa, ukimwi, lishe,uzazi wa mpango, takwimu na magonjwa ya mlipuko kwa wakati mmoja.

“ Mafunzo haya yanatolewa kwa mwaka mmoja kwa lengo la kuwawezesha wahudumu wa afya ili kuwabadilisha wale wahudumu wa afya ngazi ya jamii ambao walikuwa wakifundishwa kwa muda mfupi ili wawe na uwezo mkubwa wa kutoa huduma za jamii ukilinganisha na wale wanaosoma programu husika” alisema Kelasi.

Akimuwakilisha Mganga mkuu wa Mkoa wa Mwanza Thomas Rutachunzibwa, Dokta Sailas Wambura alisema, mafunzo hayo yatasaidia kupunguza ongezeko la maambukizi ya virusi vya Ukimwi na vifo vya mama na mtoto suala ambalo limekuwa changamoto kwa Mkoa wa Mwanza.

 

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. July 29, 2022
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2022 July 03, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI ICAP October 21, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC Malima awataka Madiwani kusimamia na kuendeleza vyema rasilimali za Bonde la Ziwa Victoria

    March 31, 2023
  • RC Malima awahimiza Wana Mwanza kufurika Dimbani Nyamagana Jumamosi hii kuwashangilia wana TP LINDANDA Pamba FC dhidi ya Kitayose

    March 30, 2023
  • Makinda awataka wasomi na wananchi kuyatumia matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi kujiinua kiuchumi

    March 29, 2023
  • RC Malima ahimiza kutokomeza unyanyasaji wa kijinsia

    March 27, 2023
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 33180, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.