• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

VIFUNGASHIO VYA PLASTIKI NI KIZUIZI CHA AFUA ZA LISHE BORA

Posted on: February 6th, 2025

VIFUNGASHIO VYA PLASTIKI NI KIZUIZI CHA AFUA ZA LISHE BORA


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza ndugu Balandya Elikana ametoa wito kwa Viongozi wa dini na asasi za kiraia mkoani humo kushirikiana na serikali kuelimisha jamii juu ya madhara ya vifungashio vya plastiki kwenye lishe bora.

Ametoa wito huo leo tarehe 06 Februari, 2025 wakati akifungua kikao cha tathmini ya utekelezaji wa mkataba wa Lishe ngazi ya Mkoa kwa kipindi cha Mwezi Oktoba- Desemba, 2024 uliowakutanisha wataalamu na wadau mbalimbali.

Amesema, kiafya kuna madhara makubwa sana kula chakula kilichohifadhiwa kwenye kifungashio cha plastiki mathalani maziwa ya ng'ombe na chakula cha moto kinachowekwa kwenye mifuko hivyo jamii ni ielimishwe kuacha tabia hiyo mara moja.

Awali, Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Jesca Lebba alifafanua kuwa suala la lishe ni mtambuka na kila mmoja anapaswa kushirikiana na Serikali kutekeleza afua za lishe ikiwemo uhifadhi wa chakula unaokubalika ili kulinda virutubisho.

Aidha, ametoa wito kwa halmashauri kupanga bajeti na kuitekeleza ili kuwezesha watoto wa shule kupata chakula wakati wa masomo na kushirikiana na wadau katika kuhamasisha upandaji wa miti ya matunda shuleni.

Ameongeza kuwa wajawazito wanapohudhuria kliniki wanapewa dawa za fefo zenye mchanganyiko wa virutubisho vya madini chuma na foliki asidi kwa ajili ya kuwaongezea damu hivyo hawana sababu ya kutumia udongo ambao una athari kiafya.

Kwa upande wa wadau hao wameshauri Kamati ya Lishe Mkoa kufanya juhudi za binafsi kufuatilia biashara ya Udongo unaotumiwa na wajawazito (Pemba) ambao una athari kiafya kwani unamuathiri mtumiaji na mtoto wa tumboni.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.