• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wahamiaji haramu watakiwa kujisalimisha

Posted on: February 13th, 2020

Wahamiaji haramu waliopo katika maeneo ya visiwa kutoka nje ya nchi watakiwa kujisalimisha na kufuata taratibu za kisheria kabla ya kuanza kwa zoezi la kuwabaini wote na kuwachulia hatua kali za kisheria ikiwa sambamba na kuwafikisha mahakamani.

Akizungumza  katika mkutano wa hadhara alipokuwa akiongea na wananchi pamoja na wavuvi wa kitongoji cha kisiwa kidogo  Ghana kata ya Ilangala wilaya ya Ukerewe  Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella alisema hawawezi kukimbia wajibu wao, hivyo wahamiaji hao wajitokeze kabla hawajakamatwa, wanapokimbia huko kwao wanakimbilia visiwani wakihitaji kuishi nchini wafuate taratibu zote na wataishi wa amani.

Pia aliwataka wananchi hao kuacha tabia ya kujifanya waungwana kwa kuwakaribisha wageni hao wasiokuwa na vibali hivyo watambue hiyo ni hatari na siku wakibainika sheria nayo itawaingiza hatiani.

“Hapa Ghana wahamiaji haramu wanapependa sana mtu akisha kurupushwa huko Burundi au Rwanda kituo cha kwanza ni Ghana na nyinyi waswahili wanafiki kwa kujifanya waungwana mnawakarbisha mjue hiyo ni hatari inawakabili siku za usoni taarifa zote tunazo”alisema Mongella.

 Aidha mkuu huyo ametoa kipindi cha miezi mitatu kwa uongozi wa kijiji hicho kuandaa taharifa ya mapato na matumizi baada ya kuonekana ubadhilfu wa fedha za wananchi za kuchangia shughuli za maendeleo.

Naye Mkuu wa Wilaya hiyo Cornel Magembe akizungumzia changamoto ya viongozi wakijiji kuwa na marumbano aliitaka tamati ya siasa ya kata hiyo kupata taarifa ya kuwajadili mwenyekiti wa kitongoji na wakijiji kwa sababu hawawezi kufanya kazi na watu wenye maslahi yao binafsi .

“Tunahitaji taarifa ya hawa watu wawili,hatuwezi ukakaa na watu ambao sisi tunakazana kwenda mbele wao wanapigana kwa maslahi yao binafsi tutakapobaini mmoja wao ana matatizo tutamuondoa tutaleta mwingine na atachaguliwa hapa”alisema Magembe.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.