• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WASIOFANYA MAZOEZI HATARINI KUPATA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA

Posted on: February 22nd, 2025

WASIOFANYA MAZOEZI HATARINI KUPATA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA


Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba amewasisitiza Watumishi wa umma na Wananchi kuzingatia ufanyaji mazoezi kwa kuwa magonjwa yasiyo ya kuambikiza yanaongezeka kwa kasi hivyo njia pekee ya kuepuka hatari hiyo ni kufanya mazoezi.

Dkt. Lebba ameyasema hayo asubuhi ya leo tarehe 22 Februari, 2025 alipokuwa akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza mara baada ya kuhitimisha matembezi ya kuzuia magonjwa yasiyo ambukiza kwa watumishi na Wananchi.

Mganga Mkuu amesema kwa Mkoa wa Mwanza mwaka 2020 magonjwa yasiyo ya kuambukiza yalikuwa yanachangia kwa 6% na mwaka jana tumefika 8% hivyo yanakwenda yanaongezeka kwa kasi na kusisitiza kuzingatia kufanya mazoezi.

“Hata hapa ofisini asilimia zaidi ya 90 wana viashiria vya magonjwa yasiyo ya kuambukiza kwa hiyo wote tuko katika hatari na mazoezi yanasaidia vitu vingi sana”. Amesema.

Aidha, ameongeza kuwa magonjwa hayo yasiyo ya kuambiza kama vile kisukari, saratani, changamoto mbalimbali za figo, magonjwa ya moyo, yote hayo yana gharama kubwa sana na yana zuilika kwa mazoezi na kubadilisha mtindo wa maisha.

“Magonjwa haya zamani tulizoea kuyaona kwa matajiri lakini sasa hata kwa maskini lakini pia tulizoea kuona kwa wenye umri mkubwa lakini kwa sasa hata chini ya miaka 30”. Amesisitiza Mganga Mkuu.

“...kwa hiyo wote tuko katika hatari, tuendelee kushiriki mazoezi na niwahamasishe kujitokeza kwa wingi kufanya mazoezi.” Ameongeza Mganga Mkuu.

Matembezi hayo maalumu ya kuzuia magonjwa yasiyo ambukiza kwa watumishi na Wananchi yanalenga kuimarisha afya, yalizinduliwa rasmi Januari 18, 2025 hivyo leo ni mwendelezo na hufanyika kila jumamosi ya tatu ya mwezi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.