-
Jun 09
-
Jun 09
-
Jun 08
-
Jun 08
-
Jun 07
-
Jun 04
-
Jun 03
-
Jun 02
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe Mhandisi Robert Gabriel leo juni 09, 2022 amefanya ziara Wilayani Sengerema na kufurahishwa na Ujenzi wa Kituo kipya cha Afya Ngomamtimba-Chifunfu kwa thamani ya T
soma zaidiSerikali imewahakikishia stahiki zao za fidia kulipwa kwa usahihi na mapema Wananchi wa Vijiji vya Sotta na Nyabila vilivyopo Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ambao wanafanyiwa tathmini ya mali zao ku
soma zaidiMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Mhandisi Robert Gabriel leo tarehe 08 Juni, 2022 amekagua Mradi wa Maji Magulukenda uliotekelezwa na Wakala ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWAS
soma zaidiKatibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike amewataka Vijana kujitambua wao ni nguvu kazi ya Taifa hivyo wasikubali kuyumbishwa na mabadiliko ya ki-Dunia ambayo baadhi yao wamejikuta yakiwagharimu ma
soma zaidiSerikali kwa kushirikiana na Benki ya Uwekezaji ya Ulaya wanatekeleza Ujenzi wa Mfumo rahisi wa Maji taka kwenye makazi ya miinuko unaotekelezwa Tshs Bilioni 3.8 unaosaidia kuhifadhi maji tak
soma zaidiMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Mhandisi Robert Gabriel ameahidi kuendelea kushirikiana na Vyombo vya Habari katika kuuletea Maendeleo Mkoa huo. Mhe Gabriel amesema hayo katika hafla ya sik
soma zaidiLeo Juni 03, 2022 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe Mhandisi Robert Gabriel amekagua ujenzi wa barabara ya Kisesa-Kayenze wilayani Magu yenye urefu wa KM 10 inayogharimu Tshs Milioni 134 kiwango ch
soma zaidiKatibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike ametoa rai kwa viongozi na watendaji mkoani humo kutoa elimu ya matumizi sahihi na usambazaji wa Makasha ya Kondomu kwa jamii ili kujikinga na maambukizi y
soma zaidi
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.