-
Apr 16
-
Apr 12
-
Apr 08
-
Apr 06
-
Mar 25
-
Mar 24
-
Mar 23
-
Mar 22
Wadau wa Maendeleo na Taasisi mbalimbali za maendeleo zimetoa vifaa mbalimbali vikiwemo meza, ndoo, sabuni, diaba na matenki ya maji kwa ajili ya kusaidia kwenye mapambano ya Corona. V
soma zaidiPasaka hii iwe na baraka tele,tunaposherekea tukumbuke kuendelea kuchukua tahadhali kujikinga na ugonjwa wa COVID 19,tufuate maelekezo ya wataalam wa afya wakati wote.Pasaka njema.
soma zaidiZaidi ya million 17 alizotapeliwa Mwalimu mstaafu zarejeshwa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) yamrejeshea. Akitoa taarifa hiyo Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Mwanza Emmanu
soma zaidiRais Dkt .John Magufuli ametimiza ahadi yake aliyoitoa mwezi juni mwaka jana ya kuwapa pikipiki maofisa tarafa nchini ambapo pikipiki 24 aina ya Sanlg zimekabidhiwa kwa maafisa tarafa w
soma zaidiKatibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Emmanuel Tutuba amepokea msaada wa vitakasa mikono (sanitizer) katoni 12 vyenye thamani ya Shilingi milioni 3 kutoka Kampuni ya Madawa ya Planet Pharmacy Ltd ya jijini
soma zaidiKitendo cha wafanyabiashara kupandisha bei vifaa vya kujikinga na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na kirusi aina ya Corona ( COVID-19) kimewahathili baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Mwanza na
soma zaidiMwezi Novemba na Desemba 2019 pengine ni kati ya vipindi ambavyo mkoa wa Mwanza umeshuhudia na kupokea ugeni mkubwa Kitaifa na Kimataifa. Ni kipindi hicho ndipo maadhimishi ya wiki ya siku ya Ukimw
soma zaidiMaendeleo ni mchakato mrefu unaogharimu muda, rasilimali fedha na utaalam. Kote duniani maendeleo hupimwa katika misingi ya kuimarika na kuboreka kwa huduma za kijamii. Ili kufikia maendeleo
soma zaidi
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.