-
Feb 02
-
Jan 31
-
Jan 30
-
Jan 30
-
Jan 30
-
Jan 30
-
Jan 30
-
Jan 30
Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini (Law Day) 2026 Kimkoa yamefanyika katika Kiwanja cha Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki (IJC) Buswelu, Wilaya ya Ilemela, yakilenga kuangazia mchango wa Mahakama katik
soma zaidiMganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba jana Januari 31. 2026 amezindua kambi ya kupima afya iliyoandaliwa kwa ushirikiano kati ya Chama cha Wanafunzi wa Udaktari Tanzania (TAMSA) pamoja na taasis
soma zaidiKatibu Tawala wa Wilaya ya Ilemela Bi. Mariam Msengi amewataka viongozi na watendaji wa chama cha ushirika Nyanza kuwasimamia wakulima wa zao la pamaba ili wapate pembejeo kwa wakati, haraka na kwa ur
soma zaidiMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa wito kwa wakulima mkoani humo kutumia fursa ya uwepo wa mfumo wa stakabadhi za ghala kwa ajili ya kupata uhakika wa masoko na hususani kukuza uchumi wao.
soma zaidiMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesisitiza umuhimu wa uwajibikaji wa pamoja katika usimamizi wa miradi ya maendeleo kuanzia ngazi ya juu hadi ya chini, akisema kuwa jukumu hilo halipaswi kube
soma zaidiMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka wananchi mkoani humo kujiunga na huduma za bima ya afya kwa wote iliyozinduliwa kwa awamu ya kwanza na Waziri wa Afya Januari 26, 2026 ili kujihakikis
soma zaidiMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Magu kukamilisha miradi Saba (7) ya Ujenzi wa Madarasa na matundu ya Vyoo katika shule za msingi ndani ya Siku 14. Amet
soma zaidiMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka wasanii na watayarishaji wa maudhui kutumia Jiji la Mwanza kama eneo la kutengeneza video mbalimbali, akisema mkoa huo una vivutio vingi vya kipekee v
soma zaidi
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.