• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

Posted on: May 26th, 2025

RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza ndugu Kusirie Swai amewataka viongozi wa umma kuzingatia sheria na kanuni za utumishi wa umma katika kusimamia nidhamu kwa watumishi katika ofisi zao.

Bwana Swai amesema hayo leo tarehe 26 Mei, 2025 wakati akifungua mafunzo ya siku tatu ya Maadili kwa viongozi wa umma yaliyoandaliwa na Ofiai ya Rais Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa Umma kwa kushirikiana na chuo cha uhasibu Arusha yaliyofanyika jmJijini Mwanza.

Amesema, maadili ni nguzo muhimu katika kuendeleza Taifa lolote kwani yanasaidia kujenga imani kwa wananchi juu ya watumishi wanaowawakilisha kwenye utumishi wa umma.

"Maadili yanasaidia kujenga tija na thamani ya rasilimali jinsi zinavyotumika kwa masilahi ya Taifa lao kama madini na maji kwa manufaa ya wote." Ndugu Swai.

Ameongeza kuwa palipo na maadili  panaakisi uwajibikaji na uwazi na kufanya wananchi na viongozi  kutoa mchango mkubwa na wa haraka katika kuendeleza nchi yao tofauti na sehemu yenye mmomonyoko wa maadili.

Aidha, amebainisha kuwa viongozi wakijikita katika kuhamasisha uadilifu inasaidia kuepusha mgongano wa maslahi na kuzuia rushwa na hulka ya ubinafsi kwa viongozi wa umma.

Katibu msaidizi kutoka Ofisi ya Rais sekretarieti ya Maadili ya viongozi wa umma kanda ya ziwa Ndugu Goodson Kweka amebainisha kuwa mafunzo hayo ni programu maalum kwa viongozi wote wa umma ikiwa ni kwa ajili ya kuwakumbusha wajibu wao.

"Mafunzo haya yatasaidia kukuza na kuendeleza maadili ya viongozi umma na yatasaidia kubadilishana uzoefu katika kuhakikisha sheria na miongozo ya maadili inafuatwa." Amebainisha Kamishna Kweka.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RAS BALANDYA ATAKA MIRADI YA MAENDELEO KUKAMILIKA KWA WAKATI

    June 17, 2025
  • RC MTANDA AAGIZA HOJA ZA KIMAKOSA KUMALIZWA HARAKA

    June 17, 2025
  • RC MTANDA ATOA MIEZI 2 KWA MANISPAA ILEMELA KUTENGENEZA MAGARI YASIYOTEMBEA

    June 17, 2025
  • RAS BALANDYA ATAKA MIKAKATI KUINUA UFAULU WA WANAFUNZI MAGU

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.