• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

JAMII YATAKIWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

Posted on: July 4th, 2025

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais -TAMISEMI (Afya) Prof. Tumaini Nagu amewasihi wananchi kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya kwa Wote ili kujihakikishia matibabu bora na haraka pindi wapatapo changamoto za kiafya.

Ametoa wito huo leo Julai 04, 2025 akiwa ofisini kwa Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza alipofika kusalimia kufuatia ziara yake ya kikazi ya siku mbili atakayoifanya Mkoani humo kwa ukaguzi wa miundombinu na huduma za afya.


Prof. Nagu amesema serikali inaendelea kuboresha huduma za afya nchini kwa kutenga fedha nyingi kwenye ununuzi wa dawa, vifaa tiba pamoja na kuajiri wataalamu lakini jamii lazima ijenge utamaduni wa kuchangia gharama za matibabu.

“Serikali inawajali sana wananchu wake, zaidi ya Tshs. Bilioni 200 zinatolewa kila mwezi kuendesha sekta ya Afya, mathalani vifaa kama CT Scan ambazo zinahitaji umeme wakati wote na ukarabati wa vifaa tiba sasa kwanini wananchi wasiunge mkono kusaidia hilo.” Prof. Nagu.


Aidha, amezitaka hospitali za rufaa kuvilea vituo vya chini kwa kutoa mrejesho wa matibabu wanayoyatoa kwa wagonjwa waliowapokea na namna ya kuboresha mfumo wa mawasiliano ili kuhakikisha vifo vya mama na mtoto vinakomeshwa nchini.


Vilevile, amebainisha mpango wa serikali wa kuendelea kuajiri na kuboresha makazi ya watumishi wa sekta hiyo kuwa ni endelevu na akatoa wito kwa halmashauri kusaidia pia kwenye eneo hilo kwa kutukia mapato ya ndani.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • JAMII YATAKIWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    July 04, 2025
  • DKT. JINGU AWATAKA MAAFISA MAENDELEO KUCHANGAMKIA FURSA 30% YA MAKUNDI MAALUM

    July 03, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEMELA AMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA MWANZA

    July 02, 2025
  • TATHMINI NI KIOO – RC MTANDA

    July 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.