• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

UFAULU MATOKEO KIDATO CHA SITA WAPANDA MWANZA, SENGEREMA SEKONDARI KINARA

Posted on: July 9th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameipongeza sekta ya elimu mkoani humo kwa kupandisha ufaulu wa wanafunzi katika matokeo ya mtihani wa kidato cha sita 2025 kwa asilimia 99.92 kwa daraja la 1 hadi 4 kutoka asilimia 99.7 mwaka 2024.

Mhe. Mtanda ametoa pongezi hizo leo Julai 09, 2025 wakati akiongea na wanahabari na wataalamu wa idara ya elimu katika kikao cha tathmini ya matokeo ya mtihani wa kidato cha sita ndani ya halmashauri nane za mkoa huo.


Amebainisha kuwa Sengerema Sekondari imekua kinara kwa kufaulisha kwani wanafunzi wote zaidi ya 600 wamepata daraja la 1-3 na kutokua na daraja la 4 wala sifuri huku Nsumba sekondari wakishika nafasi ya 2 na Bwiru wasichana wakishika nafasi ya 3.

“Natoa pongezi kwa wataalamu wa Idara ya Elimu, Wazazi na wanafunzi wenyewe kwa juhudi zao binafsi kwani tukichukulia wanafunzi waliofaulu daraja la 1 ni 3013 sawa na 53% kwa mwaka huu wakati mwaka 2024 walifaulu kwa 50% pekee.” Amesema Mhe. Mtanda.


Aidha, amefafanua kuwa wanafunzi 3 kutoka Sengerema wamepata Daraja la 1 kwa alama 3 za ufaulu huku Nsumba sekondari akipatikana mmoja na kwamba Mkoa utawapongeza rasmi wanafunzi hao pamoja na wazazi/walezi na walimu.


Katika vituo 99 vyenye watahiniwa 5767, jumla ya watahiniwa 5690 mwezi mei 2025 walifanya mtihani huo ambayo ni sawa 98% huku 2% wakishindwa kufanya kutokana na sababu mbalimbali na kwamba Julai 07, 2025 NECTA ilitangaza matokeo


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UFAULU MATOKEO KIDATO CHA SITA WAPANDA MWANZA, SENGEREMA SEKONDARI KINARA

    July 09, 2025
  • BOTI YA KISASA KURAHISISHA UOKOZI NA MATIBABU UKANDA WA ZIWA- RC MTANDA

    July 07, 2025
  • BOTI YA KISASA KURAHISISHA UOKOZI NA MATIBABU UKANDA WA ZIWA- RC MTANDA

    July 07, 2025
  • PROF. NAGU AHITIMISHA MKUTANO WA MWAKA WA TATHIMINI NA UTEKELEZAJI WA HUDUMA ZA AFYA

    July 05, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.